< Zaburi 90 >

1 Bwana, wewe umekuwa kimbilio letu vizazi vyote.
JEOVA jago guinin saganmamame yan todo y generasion.
2 Kabla milima haijaumbwa, wala haujaumba nchi na dunia, tangu milele na milele, wewe ni Mungu.
Antes de najuyong y egso sija ya unfatinas y tano todo yan y mañasaga: sa desde y tutujonña yan asta y taejinecog, jagoja si Yuus.
3 Humrudisha mtu mavumbini, na kusema, “Rudi, ewe uzao wa mwanadmu.
Jago bumira y taotao para y yinilang; ya ilelegmo: Fanalo guato, jamyo famaguon taotao.
4 Kwa maana miaka elfu machoni pako ni kama jana ipitapo, na kama saa wakati wa usiku.
Sa y mit años gui menamo taegüijeja y nigapja anae malofan esta, yan taegüijeja y ora gui bumebela gui puenge.
5 Huwafagia kama vile kwa mafuliko nao hulala; na wakati wa asubuhi wako kama majani yameayo.
Jago chumule sija taegüije y minilag y janom; manaegüije y minaego: ya y egaan manaeguije y chaguan ni y manlacho julo.
6 Asubuhi yachipuka na kumea; jioni yakatika na kukauka.
Ya y egaan, mumegae ya manlacho julo; lao y pupuenge manmautut yan ufanmalayo.
7 Hakika, tumeangamizwa kwa hasira yako, na gadhabu yako inatuogopesha sana.
Sa y linalalomo nae lumachaejam, yan y binibumo nae munafañatsagajam.
8 Umeudhihirisha uovu wetu mbele zako, na dhambi zetu zilizofichika katika nuru ya uwepo wako.
Sa unpolo y tinaelayenmame gui menamo, yan y ti matungo na isaomame gui minananan y matamo.
9 Uhai wetu unatoweka chini ya gadhabu yako; Miaka yetu inapita haraka kama pumzi.
Sat odo y jaaninmame manmalofan gui binibumo: inlachae y sacanmame ni y taegüijeja cuentos ni y masangan esta.
10 Miaka yetu ni sabini, au themanini tukiwa na afya; lakini hata hivyo miaka yetu mizuri imetiwa alama ya taabu na huzuni. Ndiyo, inapita haraka, kisha tunatoweka.
Y jaanen y sacanmame setenta años, ya y pot y minetgot siña gagaegue asta ochenta años; lao y sobetbiañija y checho yan y trineste; sa munaguse manmapos: yan jame mangupo.
11 Ni nani ajuaye kiwango cha hasira yako, na ghadhabu yako ambayo iko sawa na hofu yako?
Jaye tumungo y ninasiñan y linalalomo, ya y binibumo segun y ninamaañao guiya jago.
12 Hivyo utufundishe sisi kuyafikiria maisha yetu ili kwamba tuweze kuishi kwa hekima.
Ya fanagüejam tumufong y jaaninmame, para mojon usiña guajajam un corason ni y malate.
13 Ugeuke, Ee Yahwe! Mpaka lini itakuwa hivi? Uwahurumie watumishi wako.
Talo mague, O Jeova: asta ngaean? ya polo ya unfañotsot pot y tentagomo.
14 Ututosheleze sisi wakati wa asubuhi kwa uaminifu wa agano lako ili kwamba tuweze kufurahi na kushangilia siku zote za maisha yetu.
O nafannajong jam taftaf ni y minaasemo: ya insiña manmagof yan infansenmagof todo gui jaaninmame.
15 Utufurahishe kwa uwiano sawa na zile siku ulizo tutesa na kwa ile miaka tuliyopitia taabu.
Nafanmagof jam, segun na jaane anae unnafanpinite jam, yan y sacan anae inlie y taelaye:
16 Watumishi wako na waione kazi yako, na watoto wetu wauone ukuu enzi yako.
Polo y chechomo umalie gui tentagomo sija, yan y minalagmo gui famaguonña.
17 Na neema ya Bwana Mungu wetu iwe yetu; fanikisha kazi za mikono yetu; hakika, fanikisha kazi ya mikono yetu.
Ya y guinatbon Jeova ni y Yuusta ugaegue guiya jame; ya unnafitme guiya jame y checho y canaeta: magajet, y checho y canaemame unnafitme.

< Zaburi 90 >