< Zaburi 9 >
1 Nitamshukuru Yahweh kwa moyo wangu wote; nitayasimulia matendo yako makuu.
【天主除暴安良】 達味詩歌,交與樂官。調寄「木特拉本」。 上主,我全心讚頌你,宣揚你的一切奇偉;
2 Nitafurahi na kushangilia katika wewe; nitaliimbia jina lako, Wewe uliye juu.
我要因你而歡欣踴躍,歌頌你至高者的名號。
3 Maadui zangu wanaponirudia, hujikwaa na kuangamia mbele zako.
因為我的仇敵已經退藏,在你面前已顛仆滅亡。
4 Kwa kuwa umenitetea kwa haki; unakaa kwenye kiti chako cha enzi, ukihukumu kwa haki!
你登上寶座,秉行公義,為我審斷了是非曲直。
5 Uliwakemea mataifa; umewaharibu waovu; na kuwa futilia mbali jina lao milele na milele.
你摧毀了異民,殲滅惡徒,你把他們的名字永遠消除。
6 Maadui wamebomoka kama magofu ulipo pindua miji yao. Kumbukumbu yao yote imepotea.
敵人現已覆滅,永遠沉淪,你蕩平的城邑,全不留名。
7 Bali Yahweh anadumu milele; ameweka kiti chake cha enzi kwa ajili ya haki.
上主為王於永遠,安置寶座秉公審判。
8 Naye atauhukumu ulimwengu kwa haki, na atatekeleza hukumu kwa ajili ya mataifa kwa haki.
以公義審訊世人,將以正直判決萬民。
9 Yahweh pia atakuwa ngome kwake aliye onewa, na ngome wakati wa shida.
上主將是受迫害者的碉堡,作他困厄中的避難所。
10 Wale wakujuao jina lako wanaamini katika Wewe, kwa ajili yako, Yahweh, usiwaache wale wakutafutao.
凡認識你名號的人,必仰望你,上主,尋覓你的人,你必不擯棄。
11 Mwibieni sifa Yahweh, anaye tawala katika Sayuni; waambieni mataifa yale aliyo yatenda.
你們該歌頌上主,祂住在熙雍,在萬民中宣揚祂的一切化工:
12 Kwa kuwa Mungu alipizae kisasi cha damu hukumbuka; naye hasahau kilio cha anayeonewa.
上主追討血債,常懷念悲苦的人民,上主絕不會忘掉他慘痛的呼聲。
13 Unihurumie, Yahweh; tazama vile ninavyo onewa na wale wanao nichukia, wewe ambaye unaweza kunikwapua katika lango la kifo.
上主,求你憐憫我,垂視我仇加於我的苦辱,拯救我脫離死亡的門戶,
14 Oh, ili niweze kutangaza sifa zako. Katika lango la binti sayuni nitaufurahia wokovu wako!
好使我在熙雍女子門口,宣揚你的美譽,欣享你的助祐。
15 Mataifa yamedidimia chini katika shimo ambalo walilolitengeneza; miguu yao imenaswa kwenye nyavu walioificha wenyewe.
異民都落於自己挖掘的深坑,他們的腳都掉入自設的陷阱。
16 Yahweh amejidhihilisha; na kutekeleza hukumu; waovu wameangamia kwa matendo yao wenyewe. (Selah)
上主自顯於世,行了審判,惡人被自設的羅網所陷。
17 Waovu wamekataliwa na kupelekwa kuzimu, mataifa yote yanayo msahau Mungu. (Sheol )
願一般忘卻天主的異族,願一般惡人都歸於陰府! (Sheol )
18 Kwa kuwa mhitaji hata sahauliwa siku zote, wala matumaini ya wanyonge hayatapotea milele.
困苦的人絕不會被遺忘,窮人的依靠永不會喪亡。
19 Inuka, Yahweh, usimruhusu mtu kutushinda; mataifa na wahukumiwe mbele zako.
上主,起來,莫讓世人獲勝,願異民盡都在你前受審!
20 Bwana, waogopeshe; mataifa waweze kutambua kuwa ni wanadamu tu. (Selah)
上主,懇請你恐嚇異民,使他們自知不過是人