< Zaburi 89 >
1 Nitimba sifa za matendo ya uaminifu wa agano milele. Nitatangaza kweli yako kwa vizazi vijavyo.
BAE jucanta y minaase Jeova para taejinecog: ya y pachotto nae junamatungo y minagajetmo gui todo y generasion.
2 Maana nimesema, “Uaminifu wa agano umeimarishwa milele; na kweli yako umeiimarisha mbinguni.”
Sa ileco: Y minaase umanacajulo para taejinecog: ya y minagajetmo unnafitme todo gui langet.
3 “Nimefanya agano na wateule wangu, nimeapa kiapo kwa Daudi mtumishi wangu.
Ya jufatinas y trato gui inayegco, yan manjulayo gui as David ni y tentagojo.
4 Nitauimarisha uzao wako milele, na nitauimarisha utawala wako vizazi vyote.” (Selah)
Ya y semiyamo junafitme para taejinecog: ya jufatinas julo y tronumo gui todo y generasion. (Sila)
5 Mbingu husifu maajabu yako, Yahwe; kweli yako inasifiwa katika kusanyiko la watakatifu.
Ya y langet sija ufanmanalaba ni y ninamanmanmo, O Jeova: y minagajetmo locue gui inetnon y mañantos.
6 Maana ni nani katika mbingu aweza kulinganishwa na Yahwe? Ambaye kati ya wana wa miungu ni kama Yahwe?
Sa jaye gui langet sija siña parejuña si Jeova? Jaye gui lajin y gaeninasiña uparejuña si Jeova?
7 Ni Mungu anaye heshimiwa sana katika baraza la watakatifu naye ni wakutisha kati ya wote wanao mzunguka.
Si Yuus, gosnamaañao gui pinagat y mañantos, yan umamaanaogüe güe mas qui todo ni ayo sija y mangaegue gui oriyaña.
8 Yahwe, Mungu wa majeshi, ni nani aliye na nguvu kama wewe, Yahwe? Kweli yako inakuzunguka.
O Jeova, Yuus y inetnon sendalo, jaye matatnga parejo yan jago, O YAH? ya y minagajetmo ni y gaegue gui oriyamo?
9 Wewe huitawala bahari yenye nguvu; mawimbi yainukapo, wewe huyatuliza.
Jago umaregla y sobetbian tase: anae y napo mangajulo, jago pumoca sija.
10 Ulimwangamiza Rahabu kama mmoja aliye uliwa. Uliwatawanya adui zako kwa mkono wako wenye nguvu.
Jago yumamag iya Rahab ya unfapidaso taegüije y uno ni y mapuno; jago chumalapon y enimigumo ni y canae y minetgotmo.
11 Mbingu ni zako wewe, na nchi pia. Uliiumba dunia na vyote vilivyomo.
Y langet sija iyomo, yan yo tano locue iyomo: y tano yan y binilan sinajguanña ni y plinantamo sija.
12 Uliumba kaskazini na kusini. Tabori na Hermoni hulifurahia jina lako.
Y sanlago yan y sanjaya, jago fumatinas sija: Tabor yan Hermon manmagof ni y naanmo.
13 una mkono wa uweza na mkono wenye nguvu, na mkono wako wa kuume uko juu.
Gaegue guiya jago y canae ni y matatnga: sa y canaemo metgot, ya taquilo y agapa na canaemo.
14 Haki na hukumu ni msingi wa kiti chako. Uaminifu wa agano lako na uaminifu huja mbele zako.
Y tininas yan y juisio y plinantan tronumo: minaase yan minagajet manjajanao gui menan metamo.
15 Wamebarikiwa watu wakuabuduo wewe! Yahwe, wanatembea katika nuru ya uso wako.
Mandichoso ayo na taotao y tumungo y magof na inagang: sa manmamocat gui mananan y matamo, O Jeova.
16 Siku zote wanafurahia katika jina lako, na katika haki yako wanakutukuza wewe.
Sa y naanmo nae manmamagof todot dia: yan y tininasmo nae munafangajulo.
17 Wewe ni fahari ya nguvu zao, na kwa nguvu zako tu washindi.
Sa jago y minalag y minetgotñija: yan pot y finaboresimo na injatsajulo y canggelonmame.
18 Maana ngao zetu ni za kwako Yahwe; mfalme wetu ni wa Mtakatifu wa Israeli.
Sa iyon Jeova y patangta: yan y rayta iyon Ayo na Santos guiya Israel.
19 Muda mrefu uliopita ulizungumza na waaminfu wako katika maono; ulisema, “Nimeweka taji juu ya mwenye nguvu; nimemuinua aliyechaguliwa kutoka kati ya watu.
Ayonae unsangan gui guinigüife gui mañantosmo, ya ilegmo: guajo jupolo y inayuda gui jilo y uno ni y matatnga: yan junacajulo y uno na y maayeg gui taotao.
20 Nimemchagua Daudi mtumishi wangu; kwa mafuta yangu matakatifu nimempaka yeye.
Jusoda si David na tentagojo; ya jupalae güe nu y santos na lañajo.
21 Mkono wangu utamsaidia yeye; mkono wangu utamtia nguvu.
Guiya y canaejo munafitme: yan y canaejoja locue munametgot güe:
22 Hakuna adui atakaye mdanganya; hakuna mwana wa uovu atakaye muonea.
Ya y enimigo taeinamot guiya güiya: ni y lajin y manaelaye ti umanalamen güe.
23 Nitawaangamiza adui zake mbele yake; nitawaua wale wamchukiao.
Sa bae juyute papa y contrarioña gui menaña yan jucastiga ayo sija y chumatlie güe.
24 Kweli yangu na uaminifu wa agano vitakuwa pamoja naye; kupitia jina langu atakuwa mshindi.
Lao y minagajetto yan y minaasejo usaga guiya güiya: yan pot y naanjo na umanacajulo y canggelonña.
25 Nitaweka mkono wake juu ya bahari na mkono wake wa kuume juu ya mito.
Ya bae jupolo y canaeña locue gui jalom tase, yan y agapa na canaeña gui jalom sadog.
26 Yeye ataniita, 'Wewe ni Baba yangu, Mungu wangu, na mwamba wa wokovu wangu.'
Sa güiya umalog ni guajo: Jago y tatajo, Yuusso, yan y acho gui satbasionjo.
27 Nitamjalia kuwa kama mzaliwa wangu wa kwanza, aliye inuliwa zaidi juu ya wafalme wa nchi.
Bae jupolo güe locue pot finenana na finañagujo, mas taquiloña qui y ray sija gui tano.
28 Nitaongeza uaminifu wa agano langu kwake milele; na agano langu pamoja naye litakuwa salama.
Y minaasejo bae juadaje pot güiya para taejinecog, yan y tratujo ufitme guiya güiya.
29 Nitaufanya uzao wake kudumu milele na kiti chake cha enzi kitadumu kama mbingu zilizo juu.
Y semiyaña locue junasaga para ugaegue taejinecog, yan y tronuña taegüije y jaanen y langet.
30 Ikiwa watoto wake wataziacha sheria zangu na kutokutii amri zangu,
Yaguin famaguonña dumingo y tinagojo, yan ti manmamomocat gui juisioco,
31 na kama watazivunja sheria zangu na kutokuzishika amri zangu,
Yaguin maquebranta y layjo yan ti maadaje y tinagojo;
32 ndipo nitauadhiu uasi wao kwa fimbo na uovu wao kwa makofi.
Ayo nae jufatoegüe gui inaguaguatñija yan y bara, ya jusaulag gui tinaelayeñija.
33 Lakini sitauondoa kwake upendo wangu thabiti wala kutokuwa mwaminifu kwa ahadi yangu.
Lao y minaasejo ti junajanao todo guiya güiya: ya ti jupolo na ufatta y minagajetto.
34 Sitavunja agano langu wala kubadilisha maneno ya midomoni mwangu.
Y tratujo ti juquebranta ni jutolaeca y sinanganjo ni jumuyong gui labiosso.
35 Mara moja na kwa yote, nimeapa kwa utakatifu wangu sitamdanganya Daudi:
Un biajeja jufanjula pot y sinantosso ya ti judague si David.
36 uzao wake utaendelea milele na kiti chake cha enzi kama vile jua mbele yangu.
Y semiyaña gagaegue para taejinecog, yan y tronuña taegüijeja y atdao gui menajo.
37 Kitaimarishwa milele kama mwezi, shahidi mwaminifu mawinguni.” (Selah)
Ya maplanta para taejinecog taegüije y pilan, ya taegüije y gosmagajet na testigo gui langet. (Sila)
38 Lakini wewe umemtupa na kumkataa; umemkasirikia mfalme mpakwa mafuta wako.
Lao jago jagasja unyute yan unrechasa, jago jagasja lalalojao ni y pinalaemo.
39 Wewe umelikataa agano la mtumishi wako. Umeinajisi taji yake ardhini.
Sa unchatlie y traton y tentagomo; ya unnaale y coronaña asta papa gui jilo oda.
40 Umevunja kuta zake zote. Umeharibu ngome yake.
Unyamag papa todo y quelatña; yan unyulang y minetgot na castiyaña.
41 Wapita njia wote wamemuibia, amekuwa kitu chenye kinyaa kwa majirani zake.
Ya todo y manmalolofan gui ayo na chalan mayuteñaeñaejon: güiya manamamamajlao ni y tiguangña.
42 Umeinua mkono wa kuume wa adui zake; umewafurahisha adui zake wote.
Jago jumatsa julo y agapa na canae y contrariuña sija; yan jago munafanmagof todo y enimiguña.
43 Umeyageuza makali ya upanga wake. Na hukumfanya asimame awapo vitani.
Magajet na jago locue bumira y filon y espadaña, ya ti unnafitme güe gui guera.
44 Umeimaliza fahari yake; umekitupa ardhini kiti chake cha enzi.
Jago jagasja munabasta y minalagña, yan unyute y tronuña papa gui jilo oda.
45 Umefupisha siku za ujana wake. Umemfunika kwa aibu. (Selah)
Ya y jaanen y pinatgonña jago jagasja munacadada: jago jagasja tumampe güe ni y minamajlao. (Sila)
46 Mpaka lini, Yahwe? utajificha, milele? Mpaka lini hasira yako itawaka kama moto?
Asta ngaean, O Jeova, ada unatogjao para taejinecog? Asta ngaean ufañila y binibumo taagüije y guafe?
47 Oh, fikiria jinsi muda wangu ulivyo mfupi, na ni kwa ajili gani umewaumba wana wote wa wanadamu wasio na manufaa!
O, jaso na quinadada y tiempoco esta: pot jafa na taesetbe jagas unfatinas todo y famaguan taotao?
48 Ni nani aweza kuishi na asife, au atakaye iokoa nafsi yake dhidi ya mkono wa kuzimu? (Selah) (Sheol )
Jaye na taotao enao y lalâlâ ya ti ulie finatae, ni y ujanalibre y antiña gui ninasiñan y naftan? (Sila) (Sheol )
49 Bwana, yako wapi matendo yako ya zamani ya uaminifu wa agano ambayo ulimwapia Daudi katika kweli yako?
Jeova, mangue y minaasemo sija ni y ampmam, ni y jinilamo as David gui minagajetmo?
50 Kumbuka, Bwana, watumishi wako walivyodhihakiwa na vile nilivyo vumilia moyoni mwangu matusi mengi dhidi ya mataifa.
Jaso, Jeova, y minamajlao y tentagomo sija: ni y jucatgaja gui jalom pechoco, y minamamajlao y taotao todo ni y matatnga:
51 Maadui zako wanavurumiza matusi, Yahwe; wanadhihaki nyayo za mpakwa mafuta wako.
Ni y enimigumo mannanamamajlao, O Jeova: ni y enimigumo munamamajlao y pinecat y pinalaemo.
52 Atukuzwe Yahwe milele. Amina na Amina. Kitabu cha Nne
Bendito si Jeova para taejinecog: Amen yan Amen.