< Zaburi 88 >

1 Yahwe, Mungu wa wokovu wangu, ninalia mchana na usiku mbele zako.
Cantique. Psaume. Pour les fils de Coré. Au chef de musique, sur Mahalath-Leannoth. Pour instruire. D’Héman, l’Ezrakhite. Éternel, Dieu de mon salut! j’ai crié de jour [et] de nuit devant toi.
2 Sikiliza maombi yangu; utazame kulia kwangu.
Que ma prière vienne devant toi, incline ton oreille à mon cri.
3 Maana nimejawa taabu, na uhai wangu umefika kuzimuni. (Sheol h7585)
Car mon âme est rassasiée de maux, et ma vie touche au shéol. (Sheol h7585)
4 Watu hunichukulia kama wale waendao chini shimoni; mimi ni mtu asiye na nguvu.
Je suis compté parmi ceux qui descendent dans la fosse, je suis comme un homme qui n’a pas de force,
5 Nimetelekezwa miongoni mwa wafu; niko kama mfu alalaye katika kaburi, wao ambao wewe huwajari tena kwa sababu wametengwa mbali na nguvu zako.
Gisant parmi les morts, comme les tués qui sont couchés dans le sépulcre, desquels tu ne te souviens plus, et qui sont retranchés de ta main.
6 Wewe umeniweka katika sehemu ya chini kabisa ya shimo, sehemu yenye giza na kilindini.
Tu m’as mis dans une fosse profonde, dans des lieux ténébreux, dans des abîmes.
7 Gadhabu yako yanielemea, na mawimbi yako yote yanatua juu yangu. (Selah)
Ta fureur s’est appesantie sur moi, et tu m’as accablé de toutes tes vagues. (Sélah)
8 Kwa sababu yako, wale wanijuao wote hunikwepa. Umenifanya wakutisha machoni pao. Nimefungwa na siwezi kutoroka.
Tu as éloigné de moi ceux de ma connaissance, tu m’as mis en abomination auprès d’eux; je suis enfermé, et je ne puis sortir.
9 Macho yangu yamefifia kutokana na shida; kila siku nakuita wewe, Yahwe; ninakunyoshea wewe mikono yangu.
Mon œil se consume d’affliction; j’ai crié à toi, Éternel, tous les jours; j’ai étendu mes mains vers toi.
10 Je! utafanya miujiza kwa ajili ya wafu? Wale waliokufa watafufuka na kukusifu wewe? (Selah)
Feras-tu des merveilles pour les morts? ou les trépassés se lèveront-ils pour te célébrer? (Sélah)
11 Uaminifu wa agano lako utatangazwa kaburini? au uaminifu wako mahali pa wafu?
Racontera-t-on ta bonté dans le sépulcre, ta fidélité dans l’abîme?
12 Matendo yako ya ajabu yatajulikana gizani? au haki yako katika mahali pa usahaulifu?
Connaîtra-t-on tes merveilles dans les ténèbres, et ta justice dans le pays de l’oubli?
13 Lakini ninakulilia wewe, Yahwe; wakati wa asubuhi maombi yangu huja kwako.
Mais moi, Éternel! je crie à toi, et dès le matin ma prière te prévient.
14 Yahwe, kwa nini unanikataa? Kwa nini unauficha uso wako mbali nami?
Éternel! pourquoi as-tu rejeté mon âme, [et] me caches-tu ta face?
15 Nimekuwa nikiteswa kila siku na hatihati ya kifo tangu ujana wangu. Nimeteseka dhidi ya hofu yako kuu; ninakata tamaa.
Je suis affligé et expirant dès ma jeunesse; je porte tes terreurs, je ne sais où j’en suis.
16 Matendo yako ya hasira yamepita juu yangu, na matendo yako ya kutisha yameniangamiza.
Les ardeurs de ta colère ont passé sur moi, tes frayeurs m’ont anéanti;
17 Siku zote yananizingira mimi kama maji; yote yamenizunguka mimi.
Elles m’ont environné comme des eaux tout le jour, elles m’ont entouré toutes ensemble.
18 Wewe umemuondoa kwangu kila rafiki na anijuaye. Na sasa anijuaye pekee ni giza.
Tu as éloigné de moi amis et compagnons; ceux de ma connaissance [me sont] des ténèbres.

< Zaburi 88 >