< Zaburi 88 >

1 Yahwe, Mungu wa wokovu wangu, ninalia mchana na usiku mbele zako.
Pjesma. Psalam. Sinova Korahovih. Zborovođi. Po napjevu “Bolest”. Za pjevanje. Poučna pjesma. Ezrahijca Hemana. Jahve, Bože moj, vapijem danju, a noću naričem pred tobom.
2 Sikiliza maombi yangu; utazame kulia kwangu.
Neka dopre do tebe molitva moja, prigni uho k vapaju mome.
3 Maana nimejawa taabu, na uhai wangu umefika kuzimuni. (Sheol h7585)
Jer mi je duša zasićena patnjama, moj se život bliži Podzemlju. (Sheol h7585)
4 Watu hunichukulia kama wale waendao chini shimoni; mimi ni mtu asiye na nguvu.
Broje me k onima što u grob silaze, postadoh sličan nemoćniku.
5 Nimetelekezwa miongoni mwa wafu; niko kama mfu alalaye katika kaburi, wao ambao wewe huwajari tena kwa sababu wametengwa mbali na nguvu zako.
Među mrtvima moj je ležaj, poput ubijenih što leže u grobu kojih se više ne spominješ, od kojih si ustegao ruku.
6 Wewe umeniweka katika sehemu ya chini kabisa ya shimo, sehemu yenye giza na kilindini.
Smjestio si me u jamu duboku, u tmine, u bezdan.
7 Gadhabu yako yanielemea, na mawimbi yako yote yanatua juu yangu. (Selah)
Teško me pritišće ljutnja tvoja i svim me valima svojim prekrivaš.
8 Kwa sababu yako, wale wanijuao wote hunikwepa. Umenifanya wakutisha machoni pao. Nimefungwa na siwezi kutoroka.
Udaljio si od mene znance moje, Óučini da im gnusan budem: zatvoren sam, ne mogu izaći.
9 Macho yangu yamefifia kutokana na shida; kila siku nakuita wewe, Yahwe; ninakunyoshea wewe mikono yangu.
Od nevolje oči mi gasnu: vapijem tebi, Jahve, iz dana u dan, za tobom ruke pružam.
10 Je! utafanya miujiza kwa ajili ya wafu? Wale waliokufa watafufuka na kukusifu wewe? (Selah)
Zar na mrtvima činiš čudesa? Zar će sjene ustati i hvaliti tebe?
11 Uaminifu wa agano lako utatangazwa kaburini? au uaminifu wako mahali pa wafu?
Zar se u grobu pripovijeda o tvojoj dobroti? O vjernosti tvojoj u Propasti?
12 Matendo yako ya ajabu yatajulikana gizani? au haki yako katika mahali pa usahaulifu?
Zar se u tmini objavljuju čudesa tvoja i tvoja pravda u Zaboravu?
13 Lakini ninakulilia wewe, Yahwe; wakati wa asubuhi maombi yangu huja kwako.
Ipak ja vapijem tebi, Jahve, prije jutra molitvom te pretječem.
14 Yahwe, kwa nini unanikataa? Kwa nini unauficha uso wako mbali nami?
Zašto, Jahve, odbacuješ dušu moju? Zašto sakrivaš lice od mene?
15 Nimekuwa nikiteswa kila siku na hatihati ya kifo tangu ujana wangu. Nimeteseka dhidi ya hofu yako kuu; ninakata tamaa.
Bijedan sam i umirem već od dječaštva, klonuh noseći tvoje strahote.
16 Matendo yako ya hasira yamepita juu yangu, na matendo yako ya kutisha yameniangamiza.
Preko mene prijeđoše vihori tvojega gnjeva, strahote me tvoje shrvaše,
17 Siku zote yananizingira mimi kama maji; yote yamenizunguka mimi.
okružuju me kao voda sveudilj, optječu me svi zajedno.
18 Wewe umemuondoa kwangu kila rafiki na anijuaye. Na sasa anijuaye pekee ni giza.
Udaljio si od mene prijatelja i druga: mrak mi je znanac jedini.

< Zaburi 88 >