< Zaburi 87 >
1 Mji aliouanzisha umesimama juu ya mlima mtakatifu;
Un Salmo de los hijos de Coré; una Canción. Su fundamento está en los montes sagrados.
2 Yahwe anapenda zaidi malango ya Sayuni kuliko mahema yote ya Yakobo.
Yahvé ama las puertas de Sión más que todas las moradas de Jacob.
3 Mambo matukufu yamesemwa kwako, mji wa Mungu. (Selah)
Cosas gloriosas se dicen de ti, ciudad de Dios. (Selah)
4 Ninataja Rahabu na Babeli kwa wafuasi wangu. Tazama, Filisti, na Tiro, pamoja na Ethiopia nao watasema, 'Huyu alizaliwa humo.'”
Registraré a Rahab y a Babilonia entre los que me reconocen. Mira, Filistea, Tiro, y también Etiopía: “Este nació allí”.
5 Itasemwa juu ya Sayuni, “Kila mmoja wa hawa alizaliwa katika yeye; na yeye Aliye Juu atamuimarisha.
Sí, de Sión se dirá: “Éste y aquél han nacido en ella”. el mismo Altísimo la establecerá.
6 Yahwe anaandika katika kitabau cha sensa ya mataifa, “Huyu alizaliwa humo.” (Selah)
Yahvé contará, cuando escriba los pueblos, “Este nació allí”. (Selah)
7 Hivyo waimbaji na wachezaji kwa pamoja waseme, “chemchem zangu zimo kwako.”
Tanto los que cantan como los que bailan dicen, “Todos mis resortes están en ti”.