< Zaburi 87 >

1 Mji aliouanzisha umesimama juu ya mlima mtakatifu;
Sinom Koretovim psalm in pesem. Ustanovo svojo med svetosti gorami,
2 Yahwe anapenda zaidi malango ya Sayuni kuliko mahema yote ya Yakobo.
Vrata Sijonska ljubi Gospod nad vsa prebivališča Jakobova.
3 Mambo matukufu yamesemwa kwako, mji wa Mungu. (Selah)
Prečastno je karkoli se slaví o tebi, o mesto Božje!
4 Ninataja Rahabu na Babeli kwa wafuasi wangu. Tazama, Filisti, na Tiro, pamoja na Ethiopia nao watasema, 'Huyu alizaliwa humo.'”
Imenujem Egipčana in Babilonca med njimi, ki me poznajo; glej, Palestinca, in Tirca z Etijopjanom, da je ta rojen ravno tam;
5 Itasemwa juu ya Sayuni, “Kila mmoja wa hawa alizaliwa katika yeye; na yeye Aliye Juu atamuimarisha.
Zato se bode govorilo o Sijonu: Ta in ón mož jé rojen v njem; in on sam bode ga utrdil, Najvišji.
6 Yahwe anaandika katika kitabau cha sensa ya mataifa, “Huyu alizaliwa humo.” (Selah)
Gospod bode prišteval popisujoč ljudstva: ta je rojen ravno tam odlično.
7 Hivyo waimbaji na wachezaji kwa pamoja waseme, “chemchem zangu zimo kwako.”
Zatorej pojó enako in se radujejo vsi studenci življenja mojega v tebi.

< Zaburi 87 >