< Zaburi 87 >
1 Mji aliouanzisha umesimama juu ya mlima mtakatifu;
Сынов Кореевых. Псалом. Песнь.
2 Yahwe anapenda zaidi malango ya Sayuni kuliko mahema yote ya Yakobo.
Основание его на горах святых. Господь любит врата Сиона более всех селений Иакова.
3 Mambo matukufu yamesemwa kwako, mji wa Mungu. (Selah)
Славное возвещается о тебе, град Божий!
4 Ninataja Rahabu na Babeli kwa wafuasi wangu. Tazama, Filisti, na Tiro, pamoja na Ethiopia nao watasema, 'Huyu alizaliwa humo.'”
Упомяну знающим меня о Рааве и Вавилоне; вот Филистимляне и Тир с Ефиопиею, - скажут: “такой-то родился там”.
5 Itasemwa juu ya Sayuni, “Kila mmoja wa hawa alizaliwa katika yeye; na yeye Aliye Juu atamuimarisha.
О Сионе же будут говорить: “такой-то и такой-то муж родился в нем, и Сам Всевышний укрепил его”.
6 Yahwe anaandika katika kitabau cha sensa ya mataifa, “Huyu alizaliwa humo.” (Selah)
Господь в переписи народов напишет: “такой-то родился там”.
7 Hivyo waimbaji na wachezaji kwa pamoja waseme, “chemchem zangu zimo kwako.”
И поющие и играющие, - все источники мои в тебе.