< Zaburi 87 >

1 Mji aliouanzisha umesimama juu ya mlima mtakatifu;
(고라 자손의 시. 곧 노래) 그 기지가 성산에 있음이여
2 Yahwe anapenda zaidi malango ya Sayuni kuliko mahema yote ya Yakobo.
여호와께서 야곱의 모든 거처보다 시온의 문들을 사랑하시는도다
3 Mambo matukufu yamesemwa kwako, mji wa Mungu. (Selah)
하나님의 성이여, 너를 가리켜 영광스럽다 말하는도다 (셀라)
4 Ninataja Rahabu na Babeli kwa wafuasi wangu. Tazama, Filisti, na Tiro, pamoja na Ethiopia nao watasema, 'Huyu alizaliwa humo.'”
내가 라합과 바벨론을 나를 아는 자 중에 있다 말하리라 보라 블레셋과 두로와 구스여 이도 거기서 났다 하리로다
5 Itasemwa juu ya Sayuni, “Kila mmoja wa hawa alizaliwa katika yeye; na yeye Aliye Juu atamuimarisha.
시온에 대하여 말하기를 이 사람, 저 사람이 거기서 났나니 지존자가 친히 시온을 세우리라 하리로다
6 Yahwe anaandika katika kitabau cha sensa ya mataifa, “Huyu alizaliwa humo.” (Selah)
여호와께서 민족들을 등록하실 때에는 그 수를 세시며 이 사람이 거기서 났다 하시리로다 (셀라)
7 Hivyo waimbaji na wachezaji kwa pamoja waseme, “chemchem zangu zimo kwako.”
노래하는 자와 춤추는 자는 말하기를 나의 모든 근원이 네게 있다 하리로다

< Zaburi 87 >