< Zaburi 87 >

1 Mji aliouanzisha umesimama juu ya mlima mtakatifu;
Le sue fondamenta sono sui monti santi; Dei figli di Core. Salmo. Canto.
2 Yahwe anapenda zaidi malango ya Sayuni kuliko mahema yote ya Yakobo.
il Signore ama le porte di Sion più di tutte le dimore di Giacobbe.
3 Mambo matukufu yamesemwa kwako, mji wa Mungu. (Selah)
Di te si dicono cose stupende, città di Dio.
4 Ninataja Rahabu na Babeli kwa wafuasi wangu. Tazama, Filisti, na Tiro, pamoja na Ethiopia nao watasema, 'Huyu alizaliwa humo.'”
Ricorderò Raab e Babilonia fra quelli che mi conoscono; ecco, Palestina, Tiro ed Etiopia: tutti là sono nati.
5 Itasemwa juu ya Sayuni, “Kila mmoja wa hawa alizaliwa katika yeye; na yeye Aliye Juu atamuimarisha.
Si dirà di Sion: «L'uno e l'altro è nato in essa e l'Altissimo la tiene salda».
6 Yahwe anaandika katika kitabau cha sensa ya mataifa, “Huyu alizaliwa humo.” (Selah)
Il Signore scriverà nel libro dei popoli: «Là costui è nato».
7 Hivyo waimbaji na wachezaji kwa pamoja waseme, “chemchem zangu zimo kwako.”
E danzando canteranno: «Sono in te tutte le mie sorgenti».

< Zaburi 87 >