< Zaburi 87 >

1 Mji aliouanzisha umesimama juu ya mlima mtakatifu;
to/for son: descendant/people Korah melody song foundation his in/on/with mountain holiness
2 Yahwe anapenda zaidi malango ya Sayuni kuliko mahema yote ya Yakobo.
to love: lover LORD gate Zion from all tabernacle Jacob
3 Mambo matukufu yamesemwa kwako, mji wa Mungu. (Selah)
to honor: honour to speak: speak in/on/with you city [the] God (Selah)
4 Ninataja Rahabu na Babeli kwa wafuasi wangu. Tazama, Filisti, na Tiro, pamoja na Ethiopia nao watasema, 'Huyu alizaliwa humo.'”
to remember Rahab and Babylon to/for to know me behold Philistia and Tyre with Cush this to beget there
5 Itasemwa juu ya Sayuni, “Kila mmoja wa hawa alizaliwa katika yeye; na yeye Aliye Juu atamuimarisha.
and to/for Zion to say man and man to beget in/on/with her and he/she/it to establish: establish her Most High
6 Yahwe anaandika katika kitabau cha sensa ya mataifa, “Huyu alizaliwa humo.” (Selah)
LORD to recount in/on/with to write people this to beget there (Selah)
7 Hivyo waimbaji na wachezaji kwa pamoja waseme, “chemchem zangu zimo kwako.”
and to sing like/as to play flute all spring my in/on/with you

< Zaburi 87 >