< Zaburi 87 >
1 Mji aliouanzisha umesimama juu ya mlima mtakatifu;
For the Sons of Korah. A Melody, a Song. His foundation, is in the holy mountains:
2 Yahwe anapenda zaidi malango ya Sayuni kuliko mahema yote ya Yakobo.
Yahweh loveth the gates of Zion, More than all the dwellings of Jacob.
3 Mambo matukufu yamesemwa kwako, mji wa Mungu. (Selah)
Glorious things, are to be spoken of thee, O city of God. (Selah)
4 Ninataja Rahabu na Babeli kwa wafuasi wangu. Tazama, Filisti, na Tiro, pamoja na Ethiopia nao watasema, 'Huyu alizaliwa humo.'”
I will mention Rahab and Babylon, to them who know me—Lo! Philistia and Tyre with Ethiopia, This one was born there.
5 Itasemwa juu ya Sayuni, “Kila mmoja wa hawa alizaliwa katika yeye; na yeye Aliye Juu atamuimarisha.
But, of Zion, it shall be said—This man and that were born in her, And the Highest himself shall establish her.
6 Yahwe anaandika katika kitabau cha sensa ya mataifa, “Huyu alizaliwa humo.” (Selah)
Yahweh, will record, when he enrolleth the peoples, This one was born there. (Selah)
7 Hivyo waimbaji na wachezaji kwa pamoja waseme, “chemchem zangu zimo kwako.”
As well the singers as the flute-players [are saying], —All my springs, are in thee!