< Zaburi 87 >

1 Mji aliouanzisha umesimama juu ya mlima mtakatifu;
可拉後裔的詩歌。 耶和華所立的根基在聖山上。
2 Yahwe anapenda zaidi malango ya Sayuni kuliko mahema yote ya Yakobo.
他愛錫安的門, 勝於愛雅各一切的住處。
3 Mambo matukufu yamesemwa kwako, mji wa Mungu. (Selah)
上帝的城啊, 有榮耀的事乃指着你說的。 (細拉)
4 Ninataja Rahabu na Babeli kwa wafuasi wangu. Tazama, Filisti, na Tiro, pamoja na Ethiopia nao watasema, 'Huyu alizaliwa humo.'”
我要提起拉哈伯和巴比倫人, 是在認識我之中的; 看哪,非利士和泰爾並古實人, 個個生在那裏。
5 Itasemwa juu ya Sayuni, “Kila mmoja wa hawa alizaliwa katika yeye; na yeye Aliye Juu atamuimarisha.
論到錫安,必說: 這一個、那一個都生在其中, 而且至高者必親自堅立這城。
6 Yahwe anaandika katika kitabau cha sensa ya mataifa, “Huyu alizaliwa humo.” (Selah)
當耶和華記錄萬民的時候, 他要點出這一個生在那裏。 (細拉)
7 Hivyo waimbaji na wachezaji kwa pamoja waseme, “chemchem zangu zimo kwako.”
歌唱的,跳舞的,都要說: 我的泉源都在你裏面。

< Zaburi 87 >