< Zaburi 86 >

1 Sikia, Ee Yahwe, na unijibu, kwa kuwa ni maskini na mnyonge.
NAEGUENG papa y talangamo, O Jeova, ya unopeyo: sa pobleyo yan nesesitaoyo.
2 Unilinde, maana mimi ni mwaminifu; Mungu wangu, umuokoe mtumishi wako anayekuamini.
Adaje y antijo; sa debotoyo: O jago ni y Yuusso, nalibre y tentagomo sa jaangoco gue guiya jago.
3 Unihurumie, Bwana, maana ninakulilia wewe mchana kutwa.
Gaease nu guajo, O Jeova: sa juaagang jao todot dia.
4 Umfurahishe mtumishi wako, maana ni kwako, Bwana, ninaomba.
Namagof y anten y tentagomo; sa iya jago, O Jeova, nae jujatsa julo y antijo.
5 Wewe, Bwana, ni mwema, na uko tayari kusamehe, na huonesha huruma kubwa kwa wale wanao kulilia wewe.
Sa jago, Jeova, y mauleg yan y chadig manasie; yan dangculo y minaasemo güije todo gui umaagangjao.
6 Yahwe, sikiliza maombi yangu; sikia sauti ya ombi langu.
Jungog, O Señot y tinayuyutto: yan ecungog y inagang y guinagagaojo.
7 Katika siku ya shida ninakuita wewe, kwa maana utanijibu.
Sa y jaanen y chinatsagaco juagangjao: ya jago y unopeyo.
8 Katikati ya miungu hakuna wa kufananishwa na wewe, Bwana. Hakuna matendo kama matendo yako.
Sa y entalo y yuus sija, taya taegüenao iya jago, O Jeova; ni jafa na chocho parejo yan y chechomo.
9 Mataifa yote ambayo umeyafanya yatakuja kwako na kusujudu mbele zako, Bwana. nao wataliheshimu jina lako.
Todo y nasion sija ni y finatinasmo, manmato y manmanadora gui menamo, O Jeova; yan ufanalaba y naanmo.
10 Kwa kuwa wewe ni mkuu na utendaye mambo ya ajabu; wewe pekee ndiwe Mungu.
Sa jago dangculojao yan unfatitinas y manmaman na güinaja: jagoja na maesa Yuus.
11 Unifundishe njia zako, Yahwe. Kisha nitatembea katika kweli yako. Unifanye kukuheshimu wewe.
Fanagüeyo ni y chalanmo, O Señot: ya bae jufamocat gui minagajetmo: ya naetnon y jinason corasonjo para umaañao ni y naanmo.
12 Bwana Mungu wangu, nitakusifu kwa moyo wangu wote; nitalitukuza jina lako milele.
Sa bae jualaba jao, O Jeova, Yuusso, contodo y corasonjo: yan junamalag y naanmo para taejinecog.
13 Kwa maana uaminifu wa agano lako ni mkuu kwangu; wewe umeokoa uhai wangu kutoka chini kuzimuni. (Sheol h7585)
Sa sendangculo y minaasemo para guajo; sa guinin unnalibre y antijo guinin iya papapa guiya sasalaguan. (Sheol h7585)
14 Ee Mungu, wenye kiburi wameinuka dhidi yangu. Kundi la watu wenye vurugu wanautafuta uhai wangu. Nao hawakuheshimu wewe.
O Yuus, y mansobetbio mangajulo contra guajo, yan y inetnon y managuaguat na taotao jagasja maaliligao y antijo: yan ti mapolo jao gui menañija.
15 Lakini wewe, Bwana, ni mwenye huruma na neema, hukasiliki haraka, na mwingi katika uaminifu wa agano lako na kweli.
Lao jago, O Jeova, si Yuus jao ni y bila minaase yan cariñoso, ñateng para binibo yan dangculo na minaase yan minagajet.
16 Unigeukie na unihurumie; mpe nguvu zako mtumishi wako; umuokoe mwana wa mjakazi wako.
O birajao, guiya guajo ya gaease nu guajo: nae ni y minetgotmo y tentagomo, yan nalibre y lajin y tentagomo palaoan.
17 Unioneshe ishara ya fadhila zako. Kisha wale wanichukiao wataziona na kuaibishwa kwa sababu yako; Yahwe, umenisaidia na kunifariji.
Fanueyo ni y señat para y mauleg: para ujalie ayo sija y chumatliiyo ya ufanmamajlao: sa jago, Jeova, y umayudayo yan cumonsuelayo.

< Zaburi 86 >