< Zaburi 85 >

1 Yahwe, wewe umeonesha fadhilia kwenye nchi yako; umeurejesha ustawi wa Yakobo.
Para el director del coro. Un salmo de los descendientes de Coré Señor, le has mostrado tu bondad a la tierra; has restaurado la prosperidad de Jacob.
2 Umesamehe dhambi ya watu wako; umezisitiri dhambi zao zote. (Selah)
Quitaste la culpa de tu pueblo; perdonaste todos sus pecados. (Selah)
3 Umeondoa ghadhabu yako yote; umeiacha hasira yako kali.
Retiraste tu furia; y te alejaste de tu feroz ira.
4 Uturejeshe sisi, Ee Mungu wa wokovu wetu, na uikomeshe chuki yako juu yetu.
Acércanos otra vez a ti, ¡Dios de nuestra salvación! Aleja tu ira de nosotros.
5 Je! Utaendelea kuwa na hasira juu yetu milele? utadumisha hasira kizazi chote kijacho?
¿Vas a estar furioso con nosotros para siempre? ¿Permanecerás airado con todas nuestras generaciones futuras?
6 Je, hautatuhuisha tena? Kisha watu wako watafurahia katika wewe.
¿No restaurarás nuestras vidas, de tal modo que tu pueblo pueda hallar felicidad en ti?
7 Utuoneshe sisi uaminifu wa agano lako, Yahwe, utupe sisi wokovu wako.
¡Señor, muéstranos tu misericordioso amor! ¡Danos tu salvación!
8 Nitasikiliza yale Yahwe Mungu asemayo, maana yeye atafanya amani pamoja na watu wake, wafuasi wake waminifu. Lakini lazima wasirudi tena katika njia za kipumbavu.
Déjame escuchar la voluntad de Dios. Dios habla paz a su pueblo, a aquellos que confían en él. Pero ellos no deben volver por sus caminos necios.
9 Hakika wokovu wake u karibu na wale wanao mwabudu yeye; kisha utukufu utabaki katika nchi yetu.
Verdaderamente que la salvación de Dios está con los que hacen lo que él ordena. Su presencia gloriosa vivirá con nosotros en nuestra tierra.
10 Uaminifu wa agano na uaminifu vimekutana pamoja; haki na amani vimebusiana.
El amor y la verdad se encontrarán; la bondad y la paz se besarán mutuamente.
11 Uaminifu unatoa chemchem kutoka ardhini, na haki hutazama chini kutoka mawinguni.
Lo que es verdad crecerá de la tierra; y lo que es justo se dejará ver desde los cielos.
12 Ndiyo, Yahwe atatoa baraka zake njema, na nchi itatoa mazao yake.
Dios nos dará ciertamente todo lo que es bueno, y nuestra tierra producirá finos cultivos.
13 Haki itaenda mbele zake na kufanya njia kwa ajili ya nyayo zake.
La verdad y la justicia saldrán de él para prepararle camino y que pueda pasar.

< Zaburi 85 >