< Zaburi 85 >

1 Yahwe, wewe umeonesha fadhilia kwenye nchi yako; umeurejesha ustawi wa Yakobo.
Au maître-chantre. — Des enfants de Coré. — Psaume. Éternel, tu avais accordé ta faveur à ton pays; Tu avais ramené les captifs de Jacob;
2 Umesamehe dhambi ya watu wako; umezisitiri dhambi zao zote. (Selah)
Tu avais pardonné l'iniquité de ton peuple; Tu avais effacé tous leurs péchés. (Pause)
3 Umeondoa ghadhabu yako yote; umeiacha hasira yako kali.
Tu avais entièrement apaisé ton courroux; Tu étais revenu de l'ardeur de ta colère.
4 Uturejeshe sisi, Ee Mungu wa wokovu wetu, na uikomeshe chuki yako juu yetu.
Relève-nous, ô Dieu de notre salut, Et fais cesser ton indignation contre nous!
5 Je! Utaendelea kuwa na hasira juu yetu milele? utadumisha hasira kizazi chote kijacho?
Seras-tu toujours courroucé contre nous? Feras-tu durer ta colère éternellement?
6 Je, hautatuhuisha tena? Kisha watu wako watafurahia katika wewe.
Ne reviendras-tu pas nous rendre la vie. Afin que ton peuple se réjouisse en toi?
7 Utuoneshe sisi uaminifu wa agano lako, Yahwe, utupe sisi wokovu wako.
Fais-nous contempler ta grâce, ô Éternel, Et accorde-nous ton salut!
8 Nitasikiliza yale Yahwe Mungu asemayo, maana yeye atafanya amani pamoja na watu wake, wafuasi wake waminifu. Lakini lazima wasirudi tena katika njia za kipumbavu.
J'écouterai ce que dit le Dieu fort, l'Éternel; Car il parle de paix à son peuple et à ses bien-aimés. Toutefois, qu'ils ne retombent plus dans leur égarement!
9 Hakika wokovu wake u karibu na wale wanao mwabudu yeye; kisha utukufu utabaki katika nchi yetu.
Oui, son salut est près de ceux qui le craignent, Et la gloire de notre pays va refleurir.
10 Uaminifu wa agano na uaminifu vimekutana pamoja; haki na amani vimebusiana.
La bonté et la vérité se sont rencontrées; La justice et la paix se sont embrassées.
11 Uaminifu unatoa chemchem kutoka ardhini, na haki hutazama chini kutoka mawinguni.
La vérité germera de la terre, Et la justice regardera du haut des cieux.
12 Ndiyo, Yahwe atatoa baraka zake njema, na nchi itatoa mazao yake.
L'Éternel donnera ses biens. Et notre terre produira ses fruits.
13 Haki itaenda mbele zake na kufanya njia kwa ajili ya nyayo zake.
La justice marchera devant lui, Et elle suivra la trace de ses pas.

< Zaburi 85 >