< Zaburi 85 >
1 Yahwe, wewe umeonesha fadhilia kwenye nchi yako; umeurejesha ustawi wa Yakobo.
Au chef de musique. Des fils de Coré. Psaume. Éternel! tu as été propice à ta terre, tu as rétabli les captifs de Jacob.
2 Umesamehe dhambi ya watu wako; umezisitiri dhambi zao zote. (Selah)
Tu as pardonné l’iniquité de ton peuple, tu as couvert tous leurs péchés. (Sélah)
3 Umeondoa ghadhabu yako yote; umeiacha hasira yako kali.
Tu as retiré tout ton courroux, tu es revenu de l’ardeur de ta colère.
4 Uturejeshe sisi, Ee Mungu wa wokovu wetu, na uikomeshe chuki yako juu yetu.
Ramène-nous, ô Dieu de notre salut, et fais cesser ton indignation contre nous.
5 Je! Utaendelea kuwa na hasira juu yetu milele? utadumisha hasira kizazi chote kijacho?
Veux-tu être à toujours en colère contre nous, faire durer ta colère de génération en génération?
6 Je, hautatuhuisha tena? Kisha watu wako watafurahia katika wewe.
Ne veux-tu pas nous faire vivre de nouveau, afin que ton peuple se réjouisse en toi?
7 Utuoneshe sisi uaminifu wa agano lako, Yahwe, utupe sisi wokovu wako.
Éternel! fais-nous voir ta bonté, et accorde-nous ton salut.
8 Nitasikiliza yale Yahwe Mungu asemayo, maana yeye atafanya amani pamoja na watu wake, wafuasi wake waminifu. Lakini lazima wasirudi tena katika njia za kipumbavu.
J’écouterai ce que dira Dieu, l’Éternel; car il dira paix à son peuple et à ses saints. Mais qu’ils ne retournent pas à la folie!
9 Hakika wokovu wake u karibu na wale wanao mwabudu yeye; kisha utukufu utabaki katika nchi yetu.
Certainement, son salut est près de ceux qui le craignent, afin que la gloire demeure dans notre pays.
10 Uaminifu wa agano na uaminifu vimekutana pamoja; haki na amani vimebusiana.
La bonté et la vérité se sont rencontrées, la justice et la paix se sont embrassées.
11 Uaminifu unatoa chemchem kutoka ardhini, na haki hutazama chini kutoka mawinguni.
La vérité germera de la terre, et la justice regardera des cieux.
12 Ndiyo, Yahwe atatoa baraka zake njema, na nchi itatoa mazao yake.
L’Éternel aussi donnera ce qui est bon, et notre pays rendra son fruit.
13 Haki itaenda mbele zake na kufanya njia kwa ajili ya nyayo zake.
La justice marchera devant lui, et elle mettra ses pas sur le chemin.