< Zaburi 85 >
1 Yahwe, wewe umeonesha fadhilia kwenye nchi yako; umeurejesha ustawi wa Yakobo.
Yahweh, you have been kind to [us people who live in] this land; you have enabled [us] Israeli people to become prosperous again.
2 Umesamehe dhambi ya watu wako; umezisitiri dhambi zao zote. (Selah)
You forgave [us], your people, for the sins that we had committed; you pardoned [us] for all our sins [DOU].
3 Umeondoa ghadhabu yako yote; umeiacha hasira yako kali.
You stopped being angry [with us] and turned away from severely punishing [us].
4 Uturejeshe sisi, Ee Mungu wa wokovu wetu, na uikomeshe chuki yako juu yetu.
Now, God, the one who saves/rescues us, (restore us/make us prosperous again) and stop being angry with us!
5 Je! Utaendelea kuwa na hasira juu yetu milele? utadumisha hasira kizazi chote kijacho?
(Will you continue to be angry with us forever?/Please do not continue to be angry with us forever.) [DOU, RHQ]
6 Je, hautatuhuisha tena? Kisha watu wako watafurahia katika wewe.
Please enable us [RHQ] to prosper again in order that [we], your people, will rejoice about what you [have done for us].
7 Utuoneshe sisi uaminifu wa agano lako, Yahwe, utupe sisi wokovu wako.
Yahweh, by rescuing us [from our troubles/difficulties], show us that you faithfully love us.
8 Nitasikiliza yale Yahwe Mungu asemayo, maana yeye atafanya amani pamoja na watu wake, wafuasi wake waminifu. Lakini lazima wasirudi tena katika njia za kipumbavu.
I want to listen to what Yahweh [our] God says, because he promises/says that he will enable [us], his people, to live peacefully, if we do not return to doing foolish things.
9 Hakika wokovu wake u karibu na wale wanao mwabudu yeye; kisha utukufu utabaki katika nchi yetu.
He is surely ready to save/rescue those who revere him, in order that [his] glory/splendor will be seen in our land.
10 Uaminifu wa agano na uaminifu vimekutana pamoja; haki na amani vimebusiana.
[When that happens], he will both faithfully love us and faithfully [do for us what he promised to do] [PRS]; and we will act/behave righteously, and he will give us peace, which will be like a kiss that he gives us.
11 Uaminifu unatoa chemchem kutoka ardhini, na haki hutazama chini kutoka mawinguni.
Here on earth, we will (be loyal to/continually believe in) God, and from heaven, God will act justly/fairly [toward us].
12 Ndiyo, Yahwe atatoa baraka zake njema, na nchi itatoa mazao yake.
Yes, Yahweh will do good things [for us], and there will be great harvests in our land.
13 Haki itaenda mbele zake na kufanya njia kwa ajili ya nyayo zake.
[Yahweh always acts] righteously [PRS, MET]; he acts righteously wherever he goes.