< Zaburi 85 >

1 Yahwe, wewe umeonesha fadhilia kwenye nchi yako; umeurejesha ustawi wa Yakobo.
To the Chief Musician. For the Sons of Korah. A Melody. Thou hast accepted, O Yahweh, thy land, Thou hast brought back the captives of Jacob;
2 Umesamehe dhambi ya watu wako; umezisitiri dhambi zao zote. (Selah)
Thou hast taken away, the iniquity of thy people, Thou hast covered, all their sin. (Selah)
3 Umeondoa ghadhabu yako yote; umeiacha hasira yako kali.
Thou hast withdrawn all thine indignation, Thou hast ceased from the glow of thine anger.
4 Uturejeshe sisi, Ee Mungu wa wokovu wetu, na uikomeshe chuki yako juu yetu.
Restore us, O God of our salvation, And take away thy vexation towards us.
5 Je! Utaendelea kuwa na hasira juu yetu milele? utadumisha hasira kizazi chote kijacho?
To times age-abiding, wilt thou be angry with us? Wilt thou prolong thine anger, from generation to generation?
6 Je, hautatuhuisha tena? Kisha watu wako watafurahia katika wewe.
Wilt not, thou thyself, again give us life, That, thy people, may rejoice in thee.
7 Utuoneshe sisi uaminifu wa agano lako, Yahwe, utupe sisi wokovu wako.
Show us, O Yahweh, thy lovingkindness, And, thy salvation, wilt thou grant us.
8 Nitasikiliza yale Yahwe Mungu asemayo, maana yeye atafanya amani pamoja na watu wake, wafuasi wake waminifu. Lakini lazima wasirudi tena katika njia za kipumbavu.
I will hear, what GOD—Yahweh—will speak, —For he will bespeak prosperity to his people, And to his men of lovingkindness, And to them who return with their heart unto him.
9 Hakika wokovu wake u karibu na wale wanao mwabudu yeye; kisha utukufu utabaki katika nchi yetu.
Surely, near unto them who revere him, is his salvation, That the Glory, may settle down, in our land.
10 Uaminifu wa agano na uaminifu vimekutana pamoja; haki na amani vimebusiana.
Lovingkindness and faithfulness, have met together, Righteousness and prosperity, have kissed each other;
11 Uaminifu unatoa chemchem kutoka ardhini, na haki hutazama chini kutoka mawinguni.
Faithfulness, out of the earth, doth spring forth, And, righteousness, out of the heavens, hath looked down.
12 Ndiyo, Yahwe atatoa baraka zake njema, na nchi itatoa mazao yake.
Yahweh himself too, will give us the blessing, And, our land, shall yield her increase.
13 Haki itaenda mbele zake na kufanya njia kwa ajili ya nyayo zake.
Righteousness, before him, shall march long, —That he may make, into a way, the steps of its feet.

< Zaburi 85 >