< Zaburi 85 >

1 Yahwe, wewe umeonesha fadhilia kwenye nchi yako; umeurejesha ustawi wa Yakobo.
Kathutkung: Korah capanaw Oe, BAWIPA, na ram hah na lungyouk teh, Jakop catoun san lah a hrawi e naw hah bout na bankhai toe.
2 Umesamehe dhambi ya watu wako; umezisitiri dhambi zao zote. (Selah)
Na taminaw e payonnae hah na ngaithoum teh, a yonnae pueng na ramuk pouh toe.
3 Umeondoa ghadhabu yako yote; umeiacha hasira yako kali.
Na lungkhueknae pueng hai na dam sak teh, na lungkâannae pueng hai na kamlang takhai toe.
4 Uturejeshe sisi, Ee Mungu wa wokovu wetu, na uikomeshe chuki yako juu yetu.
Oe ka rungngangnae Cathut, bout na roung sak haw, ka lathueng na lungkhueknae teh na takhoe pouh haw.
5 Je! Utaendelea kuwa na hasira juu yetu milele? utadumisha hasira kizazi chote kijacho?
Kaimouh koe na lung pou a khuek han maw. Na lungkhueknae teh se pueng dawk na caksak han na maw.
6 Je, hautatuhuisha tena? Kisha watu wako watafurahia katika wewe.
Nang dawk na taminaw a konawm thai awh nahan, bout na pâhlaw mahoeh toung na maw.
7 Utuoneshe sisi uaminifu wa agano lako, Yahwe, utupe sisi wokovu wako.
BAWIPA, na lungmanae na hmawt sak nateh, na rungngangnae na poe haw.
8 Nitasikiliza yale Yahwe Mungu asemayo, maana yeye atafanya amani pamoja na watu wake, wafuasi wake waminifu. Lakini lazima wasirudi tena katika njia za kipumbavu.
BAWIPA Cathut ni a dei hane lawk hah ka tarawi han. Bangkongtetpawiteh, a taminaw hoi a tamikathoungnaw koevah, lungmawngnae lawk hah a dei han. Hatei, pathunae koe lah teh kamlang awh hanh.
9 Hakika wokovu wake u karibu na wale wanao mwabudu yeye; kisha utukufu utabaki katika nchi yetu.
Maimae ram dawk bawilennae ao thai nahan, a rungngangnae teh ama ka taketnaw hoi a hnai tangngak.
10 Uaminifu wa agano na uaminifu vimekutana pamoja; haki na amani vimebusiana.
Lungmanae hoi lawkkatang a kâhmo teh, lannae hoi lungmawngnae a kâpahnuep.
11 Uaminifu unatoa chemchem kutoka ardhini, na haki hutazama chini kutoka mawinguni.
Lawkkatang teh talai dawk hoi a dâwn teh, lannae ni kalvan hoi a khet.
12 Ndiyo, Yahwe atatoa baraka zake njema, na nchi itatoa mazao yake.
Bokheiyah, BAWIPA ni hnokahawi a poe. Maimae ram ni a tâcokhai e a pawhik teh a pung han.
13 Haki itaenda mbele zake na kufanya njia kwa ajili ya nyayo zake.
A hmalah lannae a cei vaiteh, khokhnuk teh lamthung lah a sak han.

< Zaburi 85 >