< Zaburi 85 >

1 Yahwe, wewe umeonesha fadhilia kwenye nchi yako; umeurejesha ustawi wa Yakobo.
Hina Gode, Di da Dia soge amoma asigi hou hamoi, amola Di da Isala: ili bu noga: le hahamonesi.
2 Umesamehe dhambi ya watu wako; umezisitiri dhambi zao zote. (Selah)
Di da Dia dunu ilia wadela: i hou gogolema: ne olofoi dagoi, amola ilia wadela: i hou huluane gogolema: ne olofolesi dagoi.
3 Umeondoa ghadhabu yako yote; umeiacha hasira yako kali.
Di da ilima ougisu amo yolesi dagoi, amola gasa bagade nimi hou amo Di guminisi dagoi.
4 Uturejeshe sisi, Ee Mungu wa wokovu wetu, na uikomeshe chuki yako juu yetu.
Nini gaga: su Gode, nini bu oule sinidigima, amola ninima hahawane hame ba: su amo yolesima!
5 Je! Utaendelea kuwa na hasira juu yetu milele? utadumisha hasira kizazi chote kijacho?
Di da mae yolele ninima gebewane ougi dialoma: bela: ? Dia ougi da mae gumini gebewane dialoma: bela: ?
6 Je, hautatuhuisha tena? Kisha watu wako watafurahia katika wewe.
Nini bu gasa filisima, amola Dia fi dunu ninia da Dima nodone sia: nanumu.
7 Utuoneshe sisi uaminifu wa agano lako, Yahwe, utupe sisi wokovu wako.
Hina Gode, Dia mae fisili asigidafa hou amo ninima olema, amola Dia nini fidili gaga: ma.
8 Nitasikiliza yale Yahwe Mungu asemayo, maana yeye atafanya amani pamoja na watu wake, wafuasi wake waminifu. Lakini lazima wasirudi tena katika njia za kipumbavu.
Na da Hina Gode Ea sia: be amo nabala. E da Ea fi dunuma hahawane olofosu hou amo imunusa: ilegele sia: sa, be amo da ninia musa: gagaoule hamonanusu hou amoga hame buhagisia,
9 Hakika wokovu wake u karibu na wale wanao mwabudu yeye; kisha utukufu utabaki katika nchi yetu.
E da dafawanedafa Ema nodone sia: be dunu amo gaga: musa: momagele ouesala, amola Ea gaga: su hou da ninia soge amo ganodini dialumu.
10 Uaminifu wa agano na uaminifu vimekutana pamoja; haki na amani vimebusiana.
Asigi hou amola didili hamosu hou da ela disimu! Moloidafa hou amola olofosu hou da ela yosia: mu.
11 Uaminifu unatoa chemchem kutoka ardhini, na haki hutazama chini kutoka mawinguni.
Dunu ilia madelagisu hou da osoboga gudunini gado heda: mu, amola Gode Ea moloidafa hou amo da fedege agoane Hebenega gadonini gudu ba: legudumu.
12 Ndiyo, Yahwe atatoa baraka zake njema, na nchi itatoa mazao yake.
Hina Gode da nini bu noga: le hahamonesimu amola ninia soge da ha: i manu noga: le heda: mu.
13 Haki itaenda mbele zake na kufanya njia kwa ajili ya nyayo zake.
Moloidafa hou da Hina Gode Ea midadi bisili, E misa: ne logo fofodola masunu.

< Zaburi 85 >