< Zaburi 84 >
1 Ni jinsi gani maskani yako yapendeza, Ewe Yahwe wa Majeshi!
Начальнику хора. На Гефском орудии. Кореевых сынов. Псалом. Как вожделенны жилища Твои, Господи сил!
2 Ninashauku ya kuingia nyumbani mwa Yahwe, nimechoka sana kwa sababu ninatamani sana kuwa nyumani mwako. Moyo wangu na mwili wangu wote wakuita wewe Mungu uliye hai.
Истомилась душа моя, желая во дворы Господни; сердце мое и плоть моя восторгаются к Богу живому.
3 Hata Shomoro naye amepata nyumba yake na mbayuwayu amejipatia kiota kwa ajili yake mwenyewe mahali awezapo aweza kuweka makinda yake karibu na madhabahu yako, Ee Yahwe wa majeshi, Mfalme wangu, na Mungu wangu.
И птичка находит себе жилье, и ласточка гнездо себе, где положить птенцов своих, у алтарей Твоих, Господи сил, Царь мой и Бог мой!
4 Wamebarikiwa wale ambao huishi katika nyumba yako; nao hukusifu wewe siku zote. (Selah)
Блаженны живущие в доме Твоем: они непрестанно будут восхвалять Тебя.
5 Amebarikiwa mtu yule ambaye nguvu zake ziko katika wewe, katika moyo wake mna njia kuu ziendazo mpaka Sayuni.
Блажен человек, которого сила в Тебе и у которого в сердце стези направлены к Тебе.
6 Wanapopita katika bonde la machozi, hupata chemchem ya maji kwa ajili ya kunywa. Mvua ya vuli hulivika baraka.
Проходя долиною плача, они открывают в ней источники, и дождь покрывает ее благословением;
7 Huendelea toka nguvu hadi nguvu; kila mmoja wao katika sayuni huonekana mbele ya Mungu.
приходят от силы в силу, являются пред Богом на Сионе.
8 Yahwe Mungu wa majeshi, sikia maombi yangu; Mungu wa Yakobo, usikilize nisemacho! (Selah)
Господи, Боже сил! Услышь молитву мою, внемли, Боже Иаковлев!
9 Ee Mungu, uiangalie ngao yetu; uwaangalie wapakwa mafuta wako.
Боже, защитник наш! Приникни и призри на лице помазанника Твоего.
10 Kwa maana siku moja katika nyumba yako ni bora kuliko siku elfu mahali pengine. Ni bora niwe mlinzi wa mlango katika nyumba ya Mungu wangu, kuliko kuishi katika mahema ya waovu.
Ибо один день во дворах Твоих лучше тысячи. Желаю лучше быть у порога в доме Божием, нежели жить в шатрах нечестия.
11 Kwa kuwa Yahwe Mungu ni jua letu na ngao yetu; Yahwe atatoa neema na utukufu; hazuii zuri lolote kwa wale ambao hutembea katika uadilifu.
Ибо Господь Бог есть солнце и щит, Господь дает благодать и славу; ходящих в непорочности Он не лишает благ.
12 Yahwe wa majeshi, amebarikiwa mtu yule anaye kutumainia wewe.
Господи сил! Блажен человек, уповающий на Тебя!