< Zaburi 84 >
1 Ni jinsi gani maskani yako yapendeza, Ewe Yahwe wa Majeshi!
MEID kaselel tanpas omui kan, Maing Ieowa Sepaot!
2 Ninashauku ya kuingia nyumbani mwa Yahwe, nimechoka sana kwa sababu ninatamani sana kuwa nyumani mwako. Moyo wangu na mwili wangu wote wakuita wewe Mungu uliye hai.
Ngen i kin inong iong o anane pera en tanpas en Ieowa kan; pali war ai o ngen i kin polauleki Kot ieias.
3 Hata Shomoro naye amepata nyumba yake na mbayuwayu amejipatia kiota kwa ajili yake mwenyewe mahali awezapo aweza kuweka makinda yake karibu na madhabahu yako, Ee Yahwe wa majeshi, Mfalme wangu, na Mungu wangu.
Pwe manpir diaradar deu a, o swalpe pas a, wasa a kin naitik ia: Sapwilim omui pei saraui kan, Maing Ieowa Sepaot, ai Nanmarki o ai Kot.
4 Wamebarikiwa wale ambao huishi katika nyumba yako; nao hukusifu wewe siku zote. (Selah)
Meid pai ir, me kin kauson nan tanpas omui! Re kin kapinga komui ansau karos. (Sela)
5 Amebarikiwa mtu yule ambaye nguvu zake ziko katika wewe, katika moyo wake mna njia kuu ziendazo mpaka Sayuni.
Meid pai karos, me kin keleki komui, o idedauen komui melel!
6 Wanapopita katika bonde la machozi, hupata chemchem ya maji kwa ajili ya kunywa. Mvua ya vuli hulivika baraka.
Me kin weweid nan sap en mamaiei, wasa re kin weirada parer ia; pil katau kin pwain kidi i pai kan.
7 Huendelea toka nguvu hadi nguvu; kila mmoja wao katika sayuni huonekana mbele ya Mungu.
Re kin kakairida ni ar manaman akan, lao re pan sansalada mon Kot nan Sion.
8 Yahwe Mungu wa majeshi, sikia maombi yangu; Mungu wa Yakobo, usikilize nisemacho! (Selah)
Maing Ieowa, Kot Sepaot, kom kotin ereki ai kapakap: Maing Kot en Iakop kotin mangi ia! (Sela)
9 Ee Mungu, uiangalie ngao yetu; uwaangalie wapakwa mafuta wako.
Kot pere pat, kom kotin masan dong kit; kom kotin irerong mas en sapwilim omui keidier men.
10 Kwa maana siku moja katika nyumba yako ni bora kuliko siku elfu mahali pengine. Ni bora niwe mlinzi wa mlango katika nyumba ya Mungu wangu, kuliko kuishi katika mahema ya waovu.
Pwe ran ta ieu mon sapwilim omui pera saraui kan me mau sang ran kid; i mauki mimi pan wanim en tanpas en Kot, sang kauson nan im en me doo sang Kot akan.
11 Kwa kuwa Yahwe Mungu ni jua letu na ngao yetu; Yahwe atatoa neema na utukufu; hazuii zuri lolote kwa wale ambao hutembea katika uadilifu.
Pwe Kot Ieowa rasong katipin o pere, Ieowa kin kotikida mak o wau, a sota pan kotin mueid ong me lelapok kan, en anane me mau kot.
12 Yahwe wa majeshi, amebarikiwa mtu yule anaye kutumainia wewe.
Maing Ieowa Sepaot, meid pai aramas amen, me kin liki komui!