< Zaburi 83 >
1 Ee Mungu, usikae kimya! usitupuuze na kustarehe, Ee Mungu.
İlahi - Asaf'ın mezmuru Ey Tanrı, susma, Sessiz, hareketsiz kalma!
2 Tazama, adui zako wanafanya vurugu, na wale wakuchukiao wameinua vichwa vyao.
Bak, düşmanların kargaşa çıkarıyor, Senden nefret edenler boy gösteriyor.
3 Wanafanya hila juu ya watu wako na kwa pamoja kupanga njama dhidi ya wale uwalindao. Wamesema,
Halkına karşı kurnazlık peşindeler, Koruduğun insanlara dolap çeviriyorlar.
4 “Njoni na tuwaangamize wao kama taifa. Kisha jina la Israeli halitakumbukwa.”
“Gelin, bu ulusun kökünü kazıyalım” diyorlar, “İsrail'in adı bir daha anılmasın!”
5 Wamepanga njama pamoja wakiwa na mkakati mmoja; wamefanya muungano dhidi yako.
Hepsi sözbirliği etmiş, düzen kuruyor, Sana karşı anlaşmaya vardı:
6 Hii inajumuisha hema za Edomu na Waishmaeli, na watu wa Moabu na Wahagari, ambao wamepanga njama pamoja nao
Edomlular, İsmaililer, Moavlılar, Hacerliler,
7 Gebal, Amoni, Amaleki; pia inajumuisha Filisti na wenyeji wa Tiro.
Geval, Ammon, Amalek, Filist ve Sur halkı.
8 Ashuri pia ameshirikina nao; wanawasaidia wana wa Lutu. Serah
Asur da onlara katıldı, Lutoğulları'na güç verdiler. (Sela)
9 Ufanye kwao kama ulivyofanya kwa Midiani, kama ulivyofanya kwa Sisera na kwa Yabini kwenye Mto Kishoni.
Onlara Midyan'a, Kişon Vadisi'nde Sisera'ya ve Yavin'e yaptığını yap:
10 Waliangamizwa kule Endori na wakawa kama mbolea juu ya chi.
Onlar Eyn-Dor'da yok oldular, Toprak için gübreye döndüler.
11 Uvifanye vyeo vyao kama Oreb na Zeeb, na wakuu wao wote kama Zeba na Zalmuna.
Onların soylularına Orev ve Zeev'e yaptığını, Beylerine Zevah ve Salmunna'ya yaptığını yap.
12 Wao walisema, natujimilikishe malisho ya Mungu.”
Onlar: “Gelin, sahiplenelim Tanrı'nın otlaklarını” demişlerdi.
13 Ee Mungu wangu, uwafanye kama mavumbi ya kisulisuli, kama makapi mbele ya upepo,
Ey Tanrım, savrulan toza, Rüzgarın sürüklediği saman çöpüne çevir onları!
14 Kama moto uteketezao msitu, na kama miali ya moto iwakayo milimani.
Orman yangını gibi, Dağları tutuşturan alev gibi,
15 Uwafuatie kwa tufani yako, na kuwafadhaisha kwa dhoruba yako.
Fırtınanla kovala, Kasırganla dehşete düşür onları!
16 Uwajaze nyuso zao kwa aibu ili kwamba waweze kulitafuta jina lako, Yahwe.
Utançla kapla yüzlerini, Sana yönelsinler, ya RAB.
17 Nao waaibishwe na kufadhaishwa milele; waangamizwe katika aibu.
Sonsuza dek utanç ve dehşet içinde kalsınlar, Rezil olup yok olsunlar.
18 Kisha watajua kwamba ni wewe pekee, Yahwe, Uliye Juu ya nchi yote.
Senin adın RAB'dir, Anlasınlar yalnız senin yeryüzüne egemen en yüce Tanrı olduğunu.