< Zaburi 83 >

1 Ee Mungu, usikae kimya! usitupuuze na kustarehe, Ee Mungu.
Oh Dios, no te calles: abre tus labios y no descanses, oh Dios.
2 Tazama, adui zako wanafanya vurugu, na wale wakuchukiao wameinua vichwa vyao.
Mira! aquellos que te hacen la guerra están fuera de control; tus enemigos están levantando sus cabezas.
3 Wanafanya hila juu ya watu wako na kwa pamoja kupanga njama dhidi ya wale uwalindao. Wamesema,
Han hecho sabios designios contra tu pueblo, hablando juntos contra aquellos a quienes guardas en un lugar secreto.
4 “Njoni na tuwaangamize wao kama taifa. Kisha jina la Israeli halitakumbukwa.”
Han dicho: Vengan, pongamos fin a ellos como nación; para que el nombre de Israel salga de la memoria del hombre.
5 Wamepanga njama pamoja wakiwa na mkakati mmoja; wamefanya muungano dhidi yako.
Porque todos han llegado a un acuerdo; todos están unidos contra ti:
6 Hii inajumuisha hema za Edomu na Waishmaeli, na watu wa Moabu na Wahagari, ambao wamepanga njama pamoja nao
Las tiendas de Edom y los ismaelitas; Moab y los agarenos;
7 Gebal, Amoni, Amaleki; pia inajumuisha Filisti na wenyeji wa Tiro.
Gebal, Amón y Amalec; los filisteos y la gente de Tiro;
8 Ashuri pia ameshirikina nao; wanawasaidia wana wa Lutu. Serah
Assur se une a ellos; se han convertido en el apoyo de los hijos de Lot. (Selah)
9 Ufanye kwao kama ulivyofanya kwa Midiani, kama ulivyofanya kwa Sisera na kwa Yabini kwenye Mto Kishoni.
Hazles lo que hiciste con los madianitas; lo que le hiciste a Sisera y Jabin, en la corriente de Cison:
10 Waliangamizwa kule Endori na wakawa kama mbolea juu ya chi.
Que vino a la destrucción en Endor; sus cuerpos se convirtieron en estiércol para la tierra.
11 Uvifanye vyeo vyao kama Oreb na Zeeb, na wakuu wao wote kama Zeba na Zalmuna.
Hagan sus jefes como Oreb y Zeeb; y todos sus gobernantes como Zeba y Zalmuna:
12 Wao walisema, natujimilikishe malisho ya Mungu.”
que han dicho: tomemos para nuestra herencia el lugar de reposo de Dios.
13 Ee Mungu wangu, uwafanye kama mavumbi ya kisulisuli, kama makapi mbele ya upepo,
Dios mío, hazlos como el polvo que rueda; como tallos secos antes del viento.
14 Kama moto uteketezao msitu, na kama miali ya moto iwakayo milimani.
Como el fuego que quema un bosque, y como una llama que causa fuego en las montañas,
15 Uwafuatie kwa tufani yako, na kuwafadhaisha kwa dhoruba yako.
Ve tras ellos con tu fuerte viento, y que estén llenos de temor a causa de tu tormenta.
16 Uwajaze nyuso zao kwa aibu ili kwamba waweze kulitafuta jina lako, Yahwe.
Que sus caras estén llenas de vergüenza; para que puedan honrar tu nombre, oh Señor.
17 Nao waaibishwe na kufadhaishwa milele; waangamizwe katika aibu.
Sean vencidos y atribulados para siempre; sean avergonzados y vengan a la destrucción;
18 Kisha watajua kwamba ni wewe pekee, Yahwe, Uliye Juu ya nchi yote.
Para que los hombres vean que tú solo, cuyo nombre es Yahweh, eres el Altísimo sobre toda la tierra.

< Zaburi 83 >