< Zaburi 83 >

1 Ee Mungu, usikae kimya! usitupuuze na kustarehe, Ee Mungu.
Ne bodi tiho, oh Bog. Ne molči in ne bodi molčeč, oh Bog.
2 Tazama, adui zako wanafanya vurugu, na wale wakuchukiao wameinua vichwa vyao.
Kajti glej, tvoji sovražniki pripravljajo upor in tisti, ki te sovražijo, so povzdignili glavo.
3 Wanafanya hila juu ya watu wako na kwa pamoja kupanga njama dhidi ya wale uwalindao. Wamesema,
Zoper tvoje ljudstvo so sprejeli prebrisan nasvet in se posvetovali zoper tvoje skrite.
4 “Njoni na tuwaangamize wao kama taifa. Kisha jina la Israeli halitakumbukwa.”
Rekli so: »Pridimo in odrežimo jih od tega, da so narod, da Izraelovo ime ne bo več v spominu.«
5 Wamepanga njama pamoja wakiwa na mkakati mmoja; wamefanya muungano dhidi yako.
Kajti skupaj so se soglasno posvetovali, združeni so zoper tebe:
6 Hii inajumuisha hema za Edomu na Waishmaeli, na watu wa Moabu na Wahagari, ambao wamepanga njama pamoja nao
Edómova šotorska svetišča in Izmaelci; Moábovci in Hagárovci;
7 Gebal, Amoni, Amaleki; pia inajumuisha Filisti na wenyeji wa Tiro.
Gebál, Amón in Amálek; Filistejci s prebivalci Tira;
8 Ashuri pia ameshirikina nao; wanawasaidia wana wa Lutu. Serah
pridružen jim je tudi Asúr. Pomagali so Lotovim sinovom. (Sela)
9 Ufanye kwao kama ulivyofanya kwa Midiani, kama ulivyofanya kwa Sisera na kwa Yabini kwenye Mto Kishoni.
Stôri jim kakor Midjáncem, kakor Siseráju, kakor Jabínu pri potoku Kišón,
10 Waliangamizwa kule Endori na wakawa kama mbolea juu ya chi.
ki so bili pokončani pri En Doru. Postali so kakor gnoj za zemljo.
11 Uvifanye vyeo vyao kama Oreb na Zeeb, na wakuu wao wote kama Zeba na Zalmuna.
Naredite njihove plemiče kakor Oréba in kakor Zeéba. Da, vse njihove prince kot Zebaha in kot Calmunája,
12 Wao walisema, natujimilikishe malisho ya Mungu.”
ki so rekli: »Vzemimo si Božje hiše v posest.«
13 Ee Mungu wangu, uwafanye kama mavumbi ya kisulisuli, kama makapi mbele ya upepo,
Oh moj Bog, naredi jih kot pleve, kakor strnišče pred vetrom.
14 Kama moto uteketezao msitu, na kama miali ya moto iwakayo milimani.
Kakor ogenj požiga gozd in kakor plamen zažiga gore,
15 Uwafuatie kwa tufani yako, na kuwafadhaisha kwa dhoruba yako.
tako jih preganjaj s svojim neurjem in s svojim viharjem jih naredi prestrašene.
16 Uwajaze nyuso zao kwa aibu ili kwamba waweze kulitafuta jina lako, Yahwe.
Njihove obraze napolni s sramoto, da bodo lahko iskali tvoje ime, oh Gospod.
17 Nao waaibishwe na kufadhaishwa milele; waangamizwe katika aibu.
Naj bodo zasramovani in zbegani na veke; da, naj bodo osramočeni in [naj] se pogubijo,
18 Kisha watajua kwamba ni wewe pekee, Yahwe, Uliye Juu ya nchi yote.
da bodo ljudje lahko vedeli, da si ti, čigar ime samó je Jahve, najvišji nad vso zemljo.

< Zaburi 83 >