< Zaburi 83 >
1 Ee Mungu, usikae kimya! usitupuuze na kustarehe, Ee Mungu.
Песнь псалма Асафу. Боже, кто уподобится Тебе? Не премолчи, ниже укроти, Боже:
2 Tazama, adui zako wanafanya vurugu, na wale wakuchukiao wameinua vichwa vyao.
яко се, врази Твои возшумеша, и ненавидящии Тя воздвигоша главу.
3 Wanafanya hila juu ya watu wako na kwa pamoja kupanga njama dhidi ya wale uwalindao. Wamesema,
На люди Твоя лукавноваша волею, и совещаша на святыя Твоя.
4 “Njoni na tuwaangamize wao kama taifa. Kisha jina la Israeli halitakumbukwa.”
Реша: приидите и потребим я от язык, и не помянется имя Израилево ктому.
5 Wamepanga njama pamoja wakiwa na mkakati mmoja; wamefanya muungano dhidi yako.
Яко совещаша единомышлением вкупе, на Тя завет завещаша:
6 Hii inajumuisha hema za Edomu na Waishmaeli, na watu wa Moabu na Wahagari, ambao wamepanga njama pamoja nao
селения Идумейска и Исмаилите, Моав и Агаряне,
7 Gebal, Amoni, Amaleki; pia inajumuisha Filisti na wenyeji wa Tiro.
Гевал и Аммон и Амалик, иноплеменницы с живущими в Тире:
8 Ashuri pia ameshirikina nao; wanawasaidia wana wa Lutu. Serah
ибо и Ассур прииде с ними, быша в заступление сыновом Лотовым:
9 Ufanye kwao kama ulivyofanya kwa Midiani, kama ulivyofanya kwa Sisera na kwa Yabini kwenye Mto Kishoni.
сотвори им яко Мадиаму и Сисаре, яко Иавиму в потоце Киссове:
10 Waliangamizwa kule Endori na wakawa kama mbolea juu ya chi.
потребишася во Аендоре, быша яко гной земный.
11 Uvifanye vyeo vyao kama Oreb na Zeeb, na wakuu wao wote kama Zeba na Zalmuna.
Положи князи их яко Орива и Зива, и Зевеа и Салмана, вся князи их,
12 Wao walisema, natujimilikishe malisho ya Mungu.”
иже реша: да наследим себе святилище Божие.
13 Ee Mungu wangu, uwafanye kama mavumbi ya kisulisuli, kama makapi mbele ya upepo,
Боже мой, положи я яко коло, яко трость пред лицем ветра.
14 Kama moto uteketezao msitu, na kama miali ya moto iwakayo milimani.
Яко огнь попаляяй дубравы, яко пламень пожигаяй горы:
15 Uwafuatie kwa tufani yako, na kuwafadhaisha kwa dhoruba yako.
тако поженеши я бурею Твоею, и гневом Твоим смятеши я.
16 Uwajaze nyuso zao kwa aibu ili kwamba waweze kulitafuta jina lako, Yahwe.
Исполни лица их безчестия, и взыщут имене Твоего, Господи.
17 Nao waaibishwe na kufadhaishwa milele; waangamizwe katika aibu.
Да постыдятся и смятутся в век века, и посрамятся и погибнут.
18 Kisha watajua kwamba ni wewe pekee, Yahwe, Uliye Juu ya nchi yote.
И да познают, яко имя Тебе Господь, Ты един Вышний по всей земли.