< Zaburi 83 >
1 Ee Mungu, usikae kimya! usitupuuze na kustarehe, Ee Mungu.
Ó Deus, não estejas em silencio; não te cales, nem te aquietes, ó Deus.
2 Tazama, adui zako wanafanya vurugu, na wale wakuchukiao wameinua vichwa vyao.
Porque eis que teus inimigos fazem tumulto, e os que te aborrecem levantaram a cabeça.
3 Wanafanya hila juu ya watu wako na kwa pamoja kupanga njama dhidi ya wale uwalindao. Wamesema,
Tomaram astuto conselho contra o teu povo, e consultavam contra os teus escondidos.
4 “Njoni na tuwaangamize wao kama taifa. Kisha jina la Israeli halitakumbukwa.”
Disseram: Vinde, e desarreiguemol-os para que não sejam nação, nem haja mais memoria do nome de Israel.
5 Wamepanga njama pamoja wakiwa na mkakati mmoja; wamefanya muungano dhidi yako.
Porque consultaram juntos e unanimes; elles se alliam contra ti:
6 Hii inajumuisha hema za Edomu na Waishmaeli, na watu wa Moabu na Wahagari, ambao wamepanga njama pamoja nao
As tendas de Edom, e dos ismaelitas, de Moab, e dos agarenos,
7 Gebal, Amoni, Amaleki; pia inajumuisha Filisti na wenyeji wa Tiro.
De Gebal, e de Ammon, e de Amalek, de Palestina, com os moradores de Tyro.
8 Ashuri pia ameshirikina nao; wanawasaidia wana wa Lutu. Serah
Tambem Assyria se ajuntou com elles: foram ajudar aos filhos de Lot (Selah)
9 Ufanye kwao kama ulivyofanya kwa Midiani, kama ulivyofanya kwa Sisera na kwa Yabini kwenye Mto Kishoni.
Faze-lhes como aos madianitas; como a Sisera, como a Jabin na ribeira de Kison.
10 Waliangamizwa kule Endori na wakawa kama mbolea juu ya chi.
Os quaes pereceram em Endor; tornaram-se como estrume para a terra.
11 Uvifanye vyeo vyao kama Oreb na Zeeb, na wakuu wao wote kama Zeba na Zalmuna.
Faze aos seus nobres como a Oreb, e como a Zeeb e a todos os seus principes, como a Zebah e como a Zalmuna;
12 Wao walisema, natujimilikishe malisho ya Mungu.”
Que disseram: Tomemos para nós as casas de Deus em possessão.
13 Ee Mungu wangu, uwafanye kama mavumbi ya kisulisuli, kama makapi mbele ya upepo,
Deus meu, faze-os como um tufão, como a aresta diante do vento.
14 Kama moto uteketezao msitu, na kama miali ya moto iwakayo milimani.
Como o fogo que queima um bosque, e como a chamma que incendeia as brenhas,
15 Uwafuatie kwa tufani yako, na kuwafadhaisha kwa dhoruba yako.
Assim os persegue com a tua tempestade, e os assombra com o teu torvelinho.
16 Uwajaze nyuso zao kwa aibu ili kwamba waweze kulitafuta jina lako, Yahwe.
Encham-se de vergonha as suas faces, para que busquem o teu nome, Senhor.
17 Nao waaibishwe na kufadhaishwa milele; waangamizwe katika aibu.
Confundam-se e assombrem-se perpetuamente; envergonhem-se, e pereçam.
18 Kisha watajua kwamba ni wewe pekee, Yahwe, Uliye Juu ya nchi yote.
Para que saibam que tu, a quem só pertence o nome de Jehovah, és o Altissimo sobre toda a terra.