< Zaburi 83 >

1 Ee Mungu, usikae kimya! usitupuuze na kustarehe, Ee Mungu.
Canto. Salmo. Di Asaf. Dio, non darti riposo, non restare muto e inerte, o Dio.
2 Tazama, adui zako wanafanya vurugu, na wale wakuchukiao wameinua vichwa vyao.
Vedi: i tuoi avversari fremono e i tuoi nemici alzano la testa.
3 Wanafanya hila juu ya watu wako na kwa pamoja kupanga njama dhidi ya wale uwalindao. Wamesema,
Contro il tuo popolo ordiscono trame e congiurano contro i tuoi protetti.
4 “Njoni na tuwaangamize wao kama taifa. Kisha jina la Israeli halitakumbukwa.”
Hanno detto: «Venite, cancelliamoli come popolo e più non si ricordi il nome di Israele».
5 Wamepanga njama pamoja wakiwa na mkakati mmoja; wamefanya muungano dhidi yako.
Hanno tramato insieme concordi, contro di te hanno concluso un'alleanza;
6 Hii inajumuisha hema za Edomu na Waishmaeli, na watu wa Moabu na Wahagari, ambao wamepanga njama pamoja nao
le tende di Edom e gli Ismaeliti, Moab e gli Agareni,
7 Gebal, Amoni, Amaleki; pia inajumuisha Filisti na wenyeji wa Tiro.
Gebal, Ammon e Amalek la Palestina con gli abitanti di Tiro.
8 Ashuri pia ameshirikina nao; wanawasaidia wana wa Lutu. Serah
Anche Assur è loro alleato e ai figli di Lot presta man forte.
9 Ufanye kwao kama ulivyofanya kwa Midiani, kama ulivyofanya kwa Sisera na kwa Yabini kwenye Mto Kishoni.
Trattali come Madian e Sisara, come Iabin al torrente di Kison:
10 Waliangamizwa kule Endori na wakawa kama mbolea juu ya chi.
essi furono distrutti a Endor, diventarono concime per la terra.
11 Uvifanye vyeo vyao kama Oreb na Zeeb, na wakuu wao wote kama Zeba na Zalmuna.
Rendi i loro principi come Oreb e Zeb, e come Zebee e Sàlmana tutti i loro capi;
12 Wao walisema, natujimilikishe malisho ya Mungu.”
essi dicevano: «I pascoli di Dio conquistiamoli per noi».
13 Ee Mungu wangu, uwafanye kama mavumbi ya kisulisuli, kama makapi mbele ya upepo,
Mio Dio, rendili come turbine, come pula dispersa dal vento.
14 Kama moto uteketezao msitu, na kama miali ya moto iwakayo milimani.
Come il fuoco che brucia il bosco e come la fiamma che divora i monti,
15 Uwafuatie kwa tufani yako, na kuwafadhaisha kwa dhoruba yako.
così tu inseguili con la tua bufera e sconvolgili con il tuo uragano.
16 Uwajaze nyuso zao kwa aibu ili kwamba waweze kulitafuta jina lako, Yahwe.
Copri di vergogna i loro volti perché cerchino il tuo nome, Signore.
17 Nao waaibishwe na kufadhaishwa milele; waangamizwe katika aibu.
Restino confusi e turbati per sempre, siano umiliati, periscano;
18 Kisha watajua kwamba ni wewe pekee, Yahwe, Uliye Juu ya nchi yote.
sappiano che tu hai nome «Signore», tu solo sei l'Altissimo su tutta la terra.

< Zaburi 83 >