< Zaburi 83 >

1 Ee Mungu, usikae kimya! usitupuuze na kustarehe, Ee Mungu.
Ein Psalmlied; von Asaph. Bleibe nicht stille, o Gott, schweige nicht und halte nicht inne!
2 Tazama, adui zako wanafanya vurugu, na wale wakuchukiao wameinua vichwa vyao.
Denn siehe, deine Feinde toben, und die dich hassen, erheben das Haupt.
3 Wanafanya hila juu ya watu wako na kwa pamoja kupanga njama dhidi ya wale uwalindao. Wamesema,
Sie machen listige Anschläge wider dein Volk, verabreden sich wider deine Schutzbefohlenen.
4 “Njoni na tuwaangamize wao kama taifa. Kisha jina la Israeli halitakumbukwa.”
Sie sprechen: «Kommt, wir wollen sie vertilgen, daß sie kein Volk mehr seien, daß des Namens Israel nicht mehr gedacht werde!»
5 Wamepanga njama pamoja wakiwa na mkakati mmoja; wamefanya muungano dhidi yako.
Ja, sie fassen einen einmütigen Beschluß, sie schließen einen Bund wider dich;
6 Hii inajumuisha hema za Edomu na Waishmaeli, na watu wa Moabu na Wahagari, ambao wamepanga njama pamoja nao
die Zelte Edoms und die Ismaeliter, Moab und die Hagariter;
7 Gebal, Amoni, Amaleki; pia inajumuisha Filisti na wenyeji wa Tiro.
Gebal, Ammon und Amalek, die Philister samt denen zu Tyrus.
8 Ashuri pia ameshirikina nao; wanawasaidia wana wa Lutu. Serah
Auch Assur hat sich mit ihnen befreundet und leiht den Kindern Lots seinen Arm. (Pause)
9 Ufanye kwao kama ulivyofanya kwa Midiani, kama ulivyofanya kwa Sisera na kwa Yabini kwenye Mto Kishoni.
Tue ihnen wie Midian, wie Sisera, wie Jabin am Bach Kison,
10 Waliangamizwa kule Endori na wakawa kama mbolea juu ya chi.
die vertilgt wurden zu Endor, zu Dünger wurden fürs Ackerfeld.
11 Uvifanye vyeo vyao kama Oreb na Zeeb, na wakuu wao wote kama Zeba na Zalmuna.
Mache ihre Edlen wie Oreb und Seb, wie Sebach und Zalmuna alle ihre Fürsten,
12 Wao walisema, natujimilikishe malisho ya Mungu.”
die da sagen: «Wir wollen die Wohnstätten Gottes für uns erobern!»
13 Ee Mungu wangu, uwafanye kama mavumbi ya kisulisuli, kama makapi mbele ya upepo,
O Gott, setze sie dem Wirbelsturm aus, mache sie wie Stoppeln vor dem Wind;
14 Kama moto uteketezao msitu, na kama miali ya moto iwakayo milimani.
wie ein Feuer, das den Wald verbrennt, und wie eine Flamme, welche die Berge versengt;
15 Uwafuatie kwa tufani yako, na kuwafadhaisha kwa dhoruba yako.
also verfolge sie mit deinem Wetter und schrecke sie mit deinem Sturm!
16 Uwajaze nyuso zao kwa aibu ili kwamba waweze kulitafuta jina lako, Yahwe.
Mache ihr Angesicht voll Schande, daß sie deinen Namen suchen, o HERR!
17 Nao waaibishwe na kufadhaishwa milele; waangamizwe katika aibu.
Laß sie beschämt und abgeschreckt werden für immer, laß sie schamrot werden und umkommen,
18 Kisha watajua kwamba ni wewe pekee, Yahwe, Uliye Juu ya nchi yote.
so daß sie erfahren müssen, daß du, der du HERR heißest, allein der Höchste bist über die ganze Erde!

< Zaburi 83 >