< Zaburi 83 >

1 Ee Mungu, usikae kimya! usitupuuze na kustarehe, Ee Mungu.
Cantique et Psaume d'Asaph. Ô Dieu! ne garde point le silence, ne te tais point, et ne te tiens point en repos, [ô Dieu Fort!]
2 Tazama, adui zako wanafanya vurugu, na wale wakuchukiao wameinua vichwa vyao.
Car voici, tes ennemis bruient; et ceux qui te haïssent ont levé la tête.
3 Wanafanya hila juu ya watu wako na kwa pamoja kupanga njama dhidi ya wale uwalindao. Wamesema,
Ils ont consulté finement en secret contre ton peuple, et ils ont tenu conseil contre ceux qui se sont retirés vers toi pour se cacher.
4 “Njoni na tuwaangamize wao kama taifa. Kisha jina la Israeli halitakumbukwa.”
Ils ont dit: venez, et détruisons-les, en sorte qu'ils ne soient plus une nation, et qu'on ne fasse plus mention du nom d'Israël.
5 Wamepanga njama pamoja wakiwa na mkakati mmoja; wamefanya muungano dhidi yako.
Car ils ont consulté ensemble d'un même esprit; ils ont fait alliance contre toi.
6 Hii inajumuisha hema za Edomu na Waishmaeli, na watu wa Moabu na Wahagari, ambao wamepanga njama pamoja nao
Les tentes des Iduméens, des Ismaélites, des Moabites, et des Hagaréniens;
7 Gebal, Amoni, Amaleki; pia inajumuisha Filisti na wenyeji wa Tiro.
les Guébalites, les Hammonites, les Hamalécites, et les Philistins, avec les habitants de Tyr.
8 Ashuri pia ameshirikina nao; wanawasaidia wana wa Lutu. Serah
Assur aussi s'est joint avec eux; ils ont servi de bras aux enfants de Lot: (Sélah)
9 Ufanye kwao kama ulivyofanya kwa Midiani, kama ulivyofanya kwa Sisera na kwa Yabini kwenye Mto Kishoni.
Fais-leur comme tu fis à Madian, comme à Sisera, [et] comme à Jabin, auprès du torrent de Kison;
10 Waliangamizwa kule Endori na wakawa kama mbolea juu ya chi.
Qui furent défaits à Hen-dor, et servirent de fumier à la terre.
11 Uvifanye vyeo vyao kama Oreb na Zeeb, na wakuu wao wote kama Zeba na Zalmuna.
Fais que les principaux d'entr'eux soient comme Horeb, et comme Zéeb; et que tous leurs Princes soient comme Zébah et Tsalmunah;
12 Wao walisema, natujimilikishe malisho ya Mungu.”
Parce qu'ils ont dit: conquérons-nous les habitations agréables de Dieu.
13 Ee Mungu wangu, uwafanye kama mavumbi ya kisulisuli, kama makapi mbele ya upepo,
Mon Dieu! rends-les semblables à une boule, et au chaume chassé par le vent;
14 Kama moto uteketezao msitu, na kama miali ya moto iwakayo milimani.
Comme le feu brûle une forêt, et comme la flamme embrase les montagnes.
15 Uwafuatie kwa tufani yako, na kuwafadhaisha kwa dhoruba yako.
Poursuis-les ainsi par ta tempête, et épouvante-les par ton tourbillon.
16 Uwajaze nyuso zao kwa aibu ili kwamba waweze kulitafuta jina lako, Yahwe.
Couvre leurs visages d'ignominie, afin qu'on cherche ton Nom, ô Eternel!
17 Nao waaibishwe na kufadhaishwa milele; waangamizwe katika aibu.
Qu'ils soient honteux et épouvantés à jamais, qu'ils rougissent, et qu'ils périssent;
18 Kisha watajua kwamba ni wewe pekee, Yahwe, Uliye Juu ya nchi yote.
Afin qu'on connaisse que toi seul, qui as nom l’Eternel, es Souverain sur toute la terre.

< Zaburi 83 >