< Zaburi 83 >
1 Ee Mungu, usikae kimya! usitupuuze na kustarehe, Ee Mungu.
Cantique. Psaume d’Assaph. O Dieu, n’arrête plus ton action, ne garde pas le silence, ne reste pas en repos, ô Tout-Puissant!
2 Tazama, adui zako wanafanya vurugu, na wale wakuchukiao wameinua vichwa vyao.
Car voilà tes ennemis qui s’agitent en tumulte, et tes adversaires qui lèvent la tête.
3 Wanafanya hila juu ya watu wako na kwa pamoja kupanga njama dhidi ya wale uwalindao. Wamesema,
Contre ton peuple ils ourdissent des complots; ils se concertent contre ceux que tu protèges.
4 “Njoni na tuwaangamize wao kama taifa. Kisha jina la Israeli halitakumbukwa.”
Ils disent: "Allons, rayons-les du nombre des nations; que le nom d’Israël ne soit plus mentionné!"
5 Wamepanga njama pamoja wakiwa na mkakati mmoja; wamefanya muungano dhidi yako.
Car, d’un commun accord, ils prennent des résolutions, contre toi ils font un pacte:
6 Hii inajumuisha hema za Edomu na Waishmaeli, na watu wa Moabu na Wahagari, ambao wamepanga njama pamoja nao
les tentes d’Edom et les Ismaélites, Moabites et Hagrites,
7 Gebal, Amoni, Amaleki; pia inajumuisha Filisti na wenyeji wa Tiro.
Ghebal, Ammon et Amalec, les Philistins ainsi que les habitants de Tyr;
8 Ashuri pia ameshirikina nao; wanawasaidia wana wa Lutu. Serah
Achour aussi se joint à eux; ils prêtent main-forte aux fils de Loth. (Sélah)
9 Ufanye kwao kama ulivyofanya kwa Midiani, kama ulivyofanya kwa Sisera na kwa Yabini kwenye Mto Kishoni.
Traite-les comme tu as traité Madian, Sisara et Jabin près du torrent de Kison,
10 Waliangamizwa kule Endori na wakawa kama mbolea juu ya chi.
qui furent anéantis à Endor, couchés sur le sol comme du fumier.
11 Uvifanye vyeo vyao kama Oreb na Zeeb, na wakuu wao wote kama Zeba na Zalmuna.
Rends leur noble pareille à Oreb et à Zeêb, et tous leurs princes, pareils à Zébah et Çalmouna,
12 Wao walisema, natujimilikishe malisho ya Mungu.”
car ils ont dit: "Emparons-nous des demeures de Dieu."
13 Ee Mungu wangu, uwafanye kama mavumbi ya kisulisuli, kama makapi mbele ya upepo,
Mon Dieu, fais d’eux comme un tourbillon de poussière, comme du chaume emporté par le vent.
14 Kama moto uteketezao msitu, na kama miali ya moto iwakayo milimani.
De même que le feu dévore les forêts, que la flamme embrase les montagnes,
15 Uwafuatie kwa tufani yako, na kuwafadhaisha kwa dhoruba yako.
ainsi pourchasse-les par ta tempête, jette-les dans une fuite éperdue par ton ouragan.
16 Uwajaze nyuso zao kwa aibu ili kwamba waweze kulitafuta jina lako, Yahwe.
Couvre leur visage d’opprobre, pour qu’ils recherchent ton nom, ô Eternel.
17 Nao waaibishwe na kufadhaishwa milele; waangamizwe katika aibu.
Qu’ils soient confondus, terrifiés à jamais, saisis de honte et perdus.
18 Kisha watajua kwamba ni wewe pekee, Yahwe, Uliye Juu ya nchi yote.
Qu’ils reconnaissent ainsi que toi seul as nom Eternel, que tu es le Maître suprême de toute la terre.