< Zaburi 83 >

1 Ee Mungu, usikae kimya! usitupuuze na kustarehe, Ee Mungu.
song melody to/for Asaph God not quiet to/for you not be quiet and not to quiet God
2 Tazama, adui zako wanafanya vurugu, na wale wakuchukiao wameinua vichwa vyao.
for behold enemy your to roar [emph?] and to hate you to lift: kindness head
3 Wanafanya hila juu ya watu wako na kwa pamoja kupanga njama dhidi ya wale uwalindao. Wamesema,
upon people your be shrewd counsel and to advise upon to treasure your
4 “Njoni na tuwaangamize wao kama taifa. Kisha jina la Israeli halitakumbukwa.”
to say to go: come! and to hide them from nation and not to remember name Israel still
5 Wamepanga njama pamoja wakiwa na mkakati mmoja; wamefanya muungano dhidi yako.
for to advise heart together upon you covenant to cut: make(covenant)
6 Hii inajumuisha hema za Edomu na Waishmaeli, na watu wa Moabu na Wahagari, ambao wamepanga njama pamoja nao
tent Edom and Ishmaelite Moab and Hagri
7 Gebal, Amoni, Amaleki; pia inajumuisha Filisti na wenyeji wa Tiro.
Gebal and Ammon and Amalek Philistia with to dwell Tyre
8 Ashuri pia ameshirikina nao; wanawasaidia wana wa Lutu. Serah
also Assyria to join with them to be arm to/for son: descendant/people Lot (Selah)
9 Ufanye kwao kama ulivyofanya kwa Midiani, kama ulivyofanya kwa Sisera na kwa Yabini kwenye Mto Kishoni.
to make: do to/for them like/as Midian like/as Sisera like/as Jabin in/on/with torrent: river Kishon
10 Waliangamizwa kule Endori na wakawa kama mbolea juu ya chi.
to destroy in/on/with En-dor En-dor to be dung to/for land: soil
11 Uvifanye vyeo vyao kama Oreb na Zeeb, na wakuu wao wote kama Zeba na Zalmuna.
to set: make them noble their like/as Oreb and like/as Zeeb and like/as Zebah and like/as Zalmunna all prince their
12 Wao walisema, natujimilikishe malisho ya Mungu.”
which to say to possess: take to/for us [obj] habitation God
13 Ee Mungu wangu, uwafanye kama mavumbi ya kisulisuli, kama makapi mbele ya upepo,
God my to set: make them like/as wheel like/as stubble to/for face: before spirit: breath
14 Kama moto uteketezao msitu, na kama miali ya moto iwakayo milimani.
like/as fire to burn: burn wood and like/as flame to kindle mountain: mount
15 Uwafuatie kwa tufani yako, na kuwafadhaisha kwa dhoruba yako.
so to pursue them in/on/with tempest your and in/on/with whirlwind your to dismay them
16 Uwajaze nyuso zao kwa aibu ili kwamba waweze kulitafuta jina lako, Yahwe.
to fill face their dishonor and to seek name your LORD
17 Nao waaibishwe na kufadhaishwa milele; waangamizwe katika aibu.
be ashamed and to dismay perpetuity till and be ashamed and to perish
18 Kisha watajua kwamba ni wewe pekee, Yahwe, Uliye Juu ya nchi yote.
and to know for you(m. s.) name your LORD to/for alone you Most High upon all [the] land: country/planet

< Zaburi 83 >