< Zaburi 83 >

1 Ee Mungu, usikae kimya! usitupuuze na kustarehe, Ee Mungu.
(En Sang. En Salme af Asaf.) Und dig, o Gud, ikke Ro, vær ej tavs, vær ej stille, o Gud!
2 Tazama, adui zako wanafanya vurugu, na wale wakuchukiao wameinua vichwa vyao.
Thi se, dine Fjender larmer, dine Avindsmænd løfter Hovedet,
3 Wanafanya hila juu ya watu wako na kwa pamoja kupanga njama dhidi ya wale uwalindao. Wamesema,
oplægger lumske Råd mod dit Folk, holder Råd imod dem, du værner:
4 “Njoni na tuwaangamize wao kama taifa. Kisha jina la Israeli halitakumbukwa.”
"Kom, lad os slette dem ud af Folkenes Tal, ej mer skal man ihukomme Israels Navn!"
5 Wamepanga njama pamoja wakiwa na mkakati mmoja; wamefanya muungano dhidi yako.
Ja, de rådslår i Fællig og slutter Pagt imod dig,
6 Hii inajumuisha hema za Edomu na Waishmaeli, na watu wa Moabu na Wahagari, ambao wamepanga njama pamoja nao
Edoms Telte og Ismaeliterne, Moab sammen med Hagriterne,
7 Gebal, Amoni, Amaleki; pia inajumuisha Filisti na wenyeji wa Tiro.
Gebal, Ammon, Amalek, Filister land med Tyrus's Borgere;
8 Ashuri pia ameshirikina nao; wanawasaidia wana wa Lutu. Serah
også Assur har sluttet sig til dem, Lots Sønner blev de en Arm. (Sela)
9 Ufanye kwao kama ulivyofanya kwa Midiani, kama ulivyofanya kwa Sisera na kwa Yabini kwenye Mto Kishoni.
Gør med dem som med Midjan, som med Sisera og Jabin ved Kisjons Bæk,
10 Waliangamizwa kule Endori na wakawa kama mbolea juu ya chi.
der gik til Grunde ved En-Dor og blev til Gødning på Marken!
11 Uvifanye vyeo vyao kama Oreb na Zeeb, na wakuu wao wote kama Zeba na Zalmuna.
Deres Høvdinger gå det som Oreb og Ze'eb, alle deres Fyrster som Zeba og Zalmunna,
12 Wao walisema, natujimilikishe malisho ya Mungu.”
fordi de siger: "Guds Vange tager vi til os som Eje."
13 Ee Mungu wangu, uwafanye kama mavumbi ya kisulisuli, kama makapi mbele ya upepo,
Min Gud, lad dem blive som hvirvlende Løv som Strå, der flyver for Vinden.
14 Kama moto uteketezao msitu, na kama miali ya moto iwakayo milimani.
Ligesom Ild fortærer Krat og Luen afsvider Bjerge,
15 Uwafuatie kwa tufani yako, na kuwafadhaisha kwa dhoruba yako.
så forfølge du dem med din Storm, forfærde du dem med din Hvirvelvind;
16 Uwajaze nyuso zao kwa aibu ili kwamba waweze kulitafuta jina lako, Yahwe.
fyld deres Åsyn med Skam, så de søger dit Navn, o HERRE;
17 Nao waaibishwe na kufadhaishwa milele; waangamizwe katika aibu.
lad dem blues, forfærdes for stedse, beskæmmes og gå til Grunde
18 Kisha watajua kwamba ni wewe pekee, Yahwe, Uliye Juu ya nchi yote.
Og kende, at du, hvis Navn er HERREN, er ene den Højeste over al Jorden!

< Zaburi 83 >