< Zaburi 83 >

1 Ee Mungu, usikae kimya! usitupuuze na kustarehe, Ee Mungu.
Asaph kah Tingtoeng Laa Pathen aw, nang taengah dingsueknah tal nim. Pathen aw omlip boel lamtah mong boeh.
2 Tazama, adui zako wanafanya vurugu, na wale wakuchukiao wameinua vichwa vyao.
Na thunkha rhoek loh hue a sak tih na lunguet rhoek loh lu a dangrhoek uh soeh ke.
3 Wanafanya hila juu ya watu wako na kwa pamoja kupanga njama dhidi ya wale uwalindao. Wamesema,
Na pilnam te baecenol neh muet uh tih na khoem rhoek taengah uento uh thae.
4 “Njoni na tuwaangamize wao kama taifa. Kisha jina la Israeli halitakumbukwa.”
Anmih vik loh, “Halo uh lamtah namtom bangla amih ke thup sih. Te daengah ni Israel ming a thoelh uh voel pawt eh?,” a ti uh.
5 Wamepanga njama pamoja wakiwa na mkakati mmoja; wamefanya muungano dhidi yako.
Nang kah a voel ah lungbuei thikat la toidal uh thae tih moi aka bop rhoek tah,
6 Hii inajumuisha hema za Edomu na Waishmaeli, na watu wa Moabu na Wahagari, ambao wamepanga njama pamoja nao
Edom dap rhoek neh Moab Ishmael, Hagri,
7 Gebal, Amoni, Amaleki; pia inajumuisha Filisti na wenyeji wa Tiro.
Gebal, Ammon, Philistia Amalek, neh Tyre kah khosa hmaih rhoek,
8 Ashuri pia ameshirikina nao; wanawasaidia wana wa Lutu. Serah
Amih te Assyria loh a koei pataeng tih Lot koca ham bantha la coeng uh. (Selah)
9 Ufanye kwao kama ulivyofanya kwa Midiani, kama ulivyofanya kwa Sisera na kwa Yabini kwenye Mto Kishoni.
Amih te Kishon soklong kah Midian, Sisera neh Jabin bangla saii lah.
10 Waliangamizwa kule Endori na wakawa kama mbolea juu ya chi.
Endor ah mitmoeng uh tih diklai ah aek la poeh uh.
11 Uvifanye vyeo vyao kama Oreb na Zeeb, na wakuu wao wote kama Zeba na Zalmuna.
Amih kah hlangcong rhoek te Oreb neh Zeeb, Zebah bangla, a boeimang boeih te Zalmunna bangla khueh lah.
12 Wao walisema, natujimilikishe malisho ya Mungu.”
Amih loh, “Pathen kah toitlim te mamih ham huul uh sih,” a ti uh.
13 Ee Mungu wangu, uwafanye kama mavumbi ya kisulisuli, kama makapi mbele ya upepo,
Ka Pathen aw amih te humhae bangla, khohli hmai kah divawt bangla khueh lah.
14 Kama moto uteketezao msitu, na kama miali ya moto iwakayo milimani.
Hmai loh duup a dom tih hmaisai loh tlang a hlawp bangla han coeng sak.
15 Uwafuatie kwa tufani yako, na kuwafadhaisha kwa dhoruba yako.
Amih te na hlipuei neh hloem van lamtah amih te na cangpalam neh let sak lah.
16 Uwajaze nyuso zao kwa aibu ili kwamba waweze kulitafuta jina lako, Yahwe.
Amih maelhmai te yah bai lamtah BOEIPA nang ming te toem uh saeh.
17 Nao waaibishwe na kufadhaishwa milele; waangamizwe katika aibu.
Amih te yahpok uh saeh lamtah let uh saeh. A yoeyah la a hmai tal uh saeh lamtah milh uh saeh.
18 Kisha watajua kwamba ni wewe pekee, Yahwe, Uliye Juu ya nchi yote.
Te dongah diklai pum ah nang tah na ming Yahweh tih, namah bueng te Sangkoek tila ming uh saeh.

< Zaburi 83 >