< Zaburi 82 >
1 Mungu amesimama katika kusanyiko la mbinguni; katikati ya miungu anahukumu.
ख़ुदा की जमा'अत में ख़ुदा मौजूद है। वह इलाहों के बीच 'अदालत करता है:
2 Hata lini mtahukumu bila haki na kuonesha upendeleo kwa waovu? (Selah)
“तुम कब तक बेइन्साफ़ी से 'अदालत करोगे, और शरीरों की तरफ़दारी करोगे? (सिलाह)
3 Wateteeni maskini na yatima; dumisheni haki kwa aliyetaabishwa na fukara.
ग़रीब और यतीम का इन्साफ़ करो, ग़मज़दा और मुफ़लिस के साथ इन्साफ़ से पेश आओ।
4 Muokoeni maskini na muhitaji; watoeni mkononi mwa waovu.
ग़रीब और मोहताज को बचाओ; शरीरों के हाथ से उनको छुड़ाओ।”
5 Hawajui wala hawaelewi; hutembea gizani; misingi yote ya nchi imebomoka.
वह न तो कुछ जानते हैं न समझते हैं, वह अंधेरे में इधर उधर चलते हैं; ज़मीन की सब बुनियादें हिल गई हैं।
6 Mimi nilisema, “Ninyi ni miungu, na ninyi nyote wana wa Mungu aliye Juu.
मैंने कहा था, “तुम इलाह हो, और तुम सब हक़ता'ला के फ़र्ज़न्द हो;
7 Hata hivyo mtakufa kama wanadamu na mtaanguka kama mmoja wa wakuu.”
तोभी तुम आदमियों की तरह मरोगे, और 'उमरा में से किसी की तरह गिर जाओगे।”
8 Uinuke, Ee Mungu, uihukumu nchi, maana unaurithi katika mataifa yote.
ऐ ख़ुदा! उठ ज़मीन की 'अदालत कर क्यूँकि तू ही सब क़ौमों का मालिक होगा।