< Zaburi 82 >

1 Mungu amesimama katika kusanyiko la mbinguni; katikati ya miungu anahukumu.
مَزْمُورٌ لِآسَافَ ٱللهُ قَائِمٌ فِي مَجْمَعِ ٱللهِ. فِي وَسْطِ ٱلْآلِهَةِ يَقْضِي:١
2 Hata lini mtahukumu bila haki na kuonesha upendeleo kwa waovu? (Selah)
«حَتَّى مَتَى تَقْضُونَ جَوْرًا وَتَرْفَعُونَ وُجُوهَ ٱلْأَشْرَارِ؟ سِلَاهْ.٢
3 Wateteeni maskini na yatima; dumisheni haki kwa aliyetaabishwa na fukara.
اِقْضُوا لِلذَّلِيلِ وَلِلْيَتِيمِ. أَنْصِفُوا ٱلْمِسْكِينَ وَٱلْبَائِسَ.٣
4 Muokoeni maskini na muhitaji; watoeni mkononi mwa waovu.
نَجُّوا ٱلْمِسْكِينَ وَٱلْفَقِيرَ. مِنْ يَدِ ٱلْأَشْرَارِ أَنْقِذُوا.٤
5 Hawajui wala hawaelewi; hutembea gizani; misingi yote ya nchi imebomoka.
«لَا يَعْلَمُونَ وَلَا يَفْهَمُونَ. فِي ٱلظُّلْمَةِ يَتَمَشَّوْنَ. تَتَزَعْزَعُ كُلُّ أُسُسِ ٱلْأَرْضِ.٥
6 Mimi nilisema, “Ninyi ni miungu, na ninyi nyote wana wa Mungu aliye Juu.
أَنَا قُلْتُ: إِنَّكُمْ آلِهَةٌ وَبَنُو ٱلْعَلِيِّ كُلُّكُمْ.٦
7 Hata hivyo mtakufa kama wanadamu na mtaanguka kama mmoja wa wakuu.”
لَكِنْ مِثْلَ ٱلنَّاسِ تَمُوتُونَ وَكَأَحَدِ ٱلرُّؤَسَاءِ تَسْقُطُونَ».٧
8 Uinuke, Ee Mungu, uihukumu nchi, maana unaurithi katika mataifa yote.
قُمْ يَا ٱللهُ. دِنِ ٱلْأَرْضَ، لِأَنَّكَ أَنْتَ تَمْتَلِكُ كُلَّ ٱلْأُمَمِ.٨

< Zaburi 82 >