< Zaburi 80 >

1 Usikie, Mchungaji wa Israel, wewe uliye muongoza Yusufu kama kundi; wewe uketiye juu ya makerubi, utuangazie!
Al Músico principal: sobre Sosannim Eduth: Salmo de Asaph. OH Pastor de Israel, escucha: tú que pastoreas como á ovejas á José, que estás entre querubines, resplandece.
2 Machoni pa Efraimu na Benjamini na Manase, uziinue nguvu zako; njoo na utuokoe.
Despierta tu valentía delante de Ephraim, y de Benjamín, y de Manasés, y ven á salvarnos.
3 Mungu, uturejeshe sisi; uangaze uso wako juu yetu, nasi tutaokolewa.
Oh Dios, haznos tornar; y haz resplandecer tu rostro, y seremos salvos.
4 Yahwe Mungu wa majeshi, mpaka lini utawakasirikia watu wako wanapoomba?
Jehová, Dios de los ejércitos, ¿hasta cuándo humearás tú contra la oración de tu pueblo?
5 Umewalisha wa mkate wa machozi na umewapa machozi ili wanywe katika kiasi kikubwa.
Dísteles á comer pan de lágrimas, y dísteles á beber lágrimas en gran abundancia.
6 Umetufanya kitu kwa ajili ya majirani zetu kubishania, na maadui zetu hucheka kuhusu sisi kati yao.
Pusístenos por contienda á nuestros vecinos: y nuestros enemigos se burlan entre sí.
7 Mungu wa majeshi, uturejeshe sisi; nasi tutaokolewa.
Oh Dios de los ejércitos, haznos tornar; y haz resplandecer tu rostro, y seremos salvos.
8 Wewe ulileta mzabibu kutoka Misri; ukawafukuza mataifa na ukaupanda.
Hiciste venir una vid de Egipto: echaste las gentes, y plantástela.
9 Uliisafisha ardhi kwa ajil yake; nao ulipata mzizi na kuijaza nchi.
Limpiaste [sitio] delante de ella, é hiciste arraigar sus raíces, y llenó la tierra.
10 Milima ilifunikwa kwa kivuli chake, mierezi ya Mungu kwa matawi yake.
Los montes fueron cubiertos de su sombra; y sus sarmientos [como] cedros de Dios.
11 Ilieneza matawi yake mbali kama bahari na mashina yake mpaka kwenye Mto Euphrates.
Extendió sus vástagos hasta la mar, y hasta el río sus mugrones.
12 Kwa nini umezibomoa kuta zake hata wapitao karibu huyachuma matunda yake.
¿Por qué aportillaste sus vallados, y la vendimian todos los que pasan por el camino?
13 Ngurue wa msituni wanauharibu, na wanyama wa kondeni wanaula.
Estropeóla el puerco montés, y pacióla la bestia del campo.
14 Urudi, Ee Mungu wa majeshi; kutoka mbinguni utazame chini na uuangalie na kuujali huu mzabibu.
Oh Dios de los ejércitos, vuelve ahora: mira desde el cielo, y considera, y visita esta viña,
15 Huu ni mzizi ambao mkono wako wa kuume umeupanda, mashina ambayo wewe uliyafanya yakue.
Y la planta que plantó tu diestra, y el renuevo que para ti corroboraste.
16 Yamekatwa na kuchomwa; yameangamia kwa sababu ya kukemea kwako.
Quemada á fuego está, asolada: perezcan por la reprensión de tu rostro.
17 Mkono wako na uwe juu ya mtu aliye mkono wako wa kuume, kwa mwana wa mtu uliyemfanya imara kwa ajili yako mwenyewe.
Sea tu mano sobre el varón de tu diestra, sobre el hijo del hombre que para ti corroboraste.
18 Ndipo hatuta kuacha wewe; utuhuishe, nasi tutaliita jina lako.
Así no nos volveremos de ti: vida nos darás, é invocaremos tu nombre.
19 Yahwe, Mungu wa majeshi, uturejeshe sisi; utuangazie nuru ya uso wako, nasi tutaokolewa.
Oh Jehová, Dios de los ejércitos, haznos tornar; haz resplandecer tu rostro, y seremos salvos.

< Zaburi 80 >