< Zaburi 80 >

1 Usikie, Mchungaji wa Israel, wewe uliye muongoza Yusufu kama kundi; wewe uketiye juu ya makerubi, utuangazie!
Pour la fin, pour ceux qui seront changés, témoignage d’Asaph, psaume. Vous qui gouvernez Israël, soyez attentif: vous qui conduisez, comme une brebis, Joseph. Vous qui êtes assis sur les Chérubins, manifestez-vous
2 Machoni pa Efraimu na Benjamini na Manase, uziinue nguvu zako; njoo na utuokoe.
Devant Ephraïm, Benjamin et Manassé.
3 Mungu, uturejeshe sisi; uangaze uso wako juu yetu, nasi tutaokolewa.
Ô Dieu, convertissez-nous, et montrez votre face, et nous serons sauvés.
4 Yahwe Mungu wa majeshi, mpaka lini utawakasirikia watu wako wanapoomba?
Seigneur, Dieu des armées, jusques à quand serez-vous irrité au sujet de la prière de votre serviteur?
5 Umewalisha wa mkate wa machozi na umewapa machozi ili wanywe katika kiasi kikubwa.
Jusques à quand nous nourrirez-vous d’un pain de larmes, et nous donnerez-vous à boire des larmes dans une mesure?
6 Umetufanya kitu kwa ajili ya majirani zetu kubishania, na maadui zetu hucheka kuhusu sisi kati yao.
Vous nous avez posés comme un objet de contradiction à nos voisins; et nos ennemis nous ont insultés.
7 Mungu wa majeshi, uturejeshe sisi; nasi tutaokolewa.
Dieu des armées, convertissez-nous, et montrez votre face, et nous serons sauvés.
8 Wewe ulileta mzabibu kutoka Misri; ukawafukuza mataifa na ukaupanda.
Vous avez transporté de l’Égypte une vigne, vous avez chassé des nations, et vous l’avez plantée.
9 Uliisafisha ardhi kwa ajil yake; nao ulipata mzizi na kuijaza nchi.
Vous avez été un guide de route devant elle: vous avez planté ses racines, et elle a rempli la terre.
10 Milima ilifunikwa kwa kivuli chake, mierezi ya Mungu kwa matawi yake.
Son ombre a couvert les montagnes, et ses rameaux les cèdres de Dieu.
11 Ilieneza matawi yake mbali kama bahari na mashina yake mpaka kwenye Mto Euphrates.
Elle a étendu ses branches jusqu’à la mer, et ses rameaux jusqu’au fleuve.
12 Kwa nini umezibomoa kuta zake hata wapitao karibu huyachuma matunda yake.
Pourquoi donc avez-vous détruit son mur de clôture, et pourquoi la vendangent-ils, tous ceux qui passent dans le chemin?
13 Ngurue wa msituni wanauharibu, na wanyama wa kondeni wanaula.
Un sanglier de forêt l’a entièrement dévastée; et une bête sauvage l’a broutée.
14 Urudi, Ee Mungu wa majeshi; kutoka mbinguni utazame chini na uuangalie na kuujali huu mzabibu.
Dieu des armées, revenez, regardez du haut du ciel et voyez, et visitez cette vigne.
15 Huu ni mzizi ambao mkono wako wa kuume umeupanda, mashina ambayo wewe uliyafanya yakue.
Faites-la prospérer, celle que votre droite à plantée, et portez vos regards sur le fils de l’homme que vous avez établi fermement pour vous.
16 Yamekatwa na kuchomwa; yameangamia kwa sababu ya kukemea kwako.
Elle a été brûlée par le feu et déchaussée; par la réprimande de votre visage ils périront.
17 Mkono wako na uwe juu ya mtu aliye mkono wako wa kuume, kwa mwana wa mtu uliyemfanya imara kwa ajili yako mwenyewe.
Que votre main repose sur l’homme de votre droite, et sur le fils de l’homme que vous avez établi fermement pour vous.
18 Ndipo hatuta kuacha wewe; utuhuishe, nasi tutaliita jina lako.
Et nous ne nous éloignerons plus de vous; vous nous rendrez la vie, et nous invoquerons votre nom.
19 Yahwe, Mungu wa majeshi, uturejeshe sisi; utuangazie nuru ya uso wako, nasi tutaokolewa.
Seigneur, Dieu des armées, convertissez-nous; et montrez votre face, et nous serons sauvés.

< Zaburi 80 >