< Zaburi 80 >

1 Usikie, Mchungaji wa Israel, wewe uliye muongoza Yusufu kama kundi; wewe uketiye juu ya makerubi, utuangazie!
Zborovođi. Po napjevu “Ljiljan svjedočanstva”. Asafov. Psalam. Pastiru Izraelov, počuj, ti što vodiš Josipa k'o stado ovaca! Ti što sjediš nad kerubima, zablistaj
2 Machoni pa Efraimu na Benjamini na Manase, uziinue nguvu zako; njoo na utuokoe.
pred Efrajimom, Benjaminom, Manašeom: probudi silu svoju, priteci nam u pomoć!
3 Mungu, uturejeshe sisi; uangaze uso wako juu yetu, nasi tutaokolewa.
Bože, obnovi nas, razvedri lice svoje i spasi nas!
4 Yahwe Mungu wa majeshi, mpaka lini utawakasirikia watu wako wanapoomba?
Jahve, Bože nad Vojskama, dokle ćeš plamtjeti, premda se moli narod tvoj?
5 Umewalisha wa mkate wa machozi na umewapa machozi ili wanywe katika kiasi kikubwa.
Dokle ćeš nas hraniti kruhom suza i obilno pojiti suzama?
6 Umetufanya kitu kwa ajili ya majirani zetu kubishania, na maadui zetu hucheka kuhusu sisi kati yao.
Dokle će se oko nas svađat' susjedi i rugat' nam se naši dušmani?
7 Mungu wa majeshi, uturejeshe sisi; nasi tutaokolewa.
Bože nad Vojskama, obnovi nas, razvedri lice svoje i spasi nas!
8 Wewe ulileta mzabibu kutoka Misri; ukawafukuza mataifa na ukaupanda.
Ti prenese čokot iz Egipta, pogane istjera, a njega zasadi.
9 Uliisafisha ardhi kwa ajil yake; nao ulipata mzizi na kuijaza nchi.
Ti mu tlo pripravi, i on pusti korijenje i napuni zemlju.
10 Milima ilifunikwa kwa kivuli chake, mierezi ya Mungu kwa matawi yake.
Sjena mu prekri bregove, lozje mu k'o Božji cedrovi.
11 Ilieneza matawi yake mbali kama bahari na mashina yake mpaka kwenye Mto Euphrates.
Mladice svoje ispruži do mora i svoje ogranke do Rijeke.
12 Kwa nini umezibomoa kuta zake hata wapitao karibu huyachuma matunda yake.
Zašto si mu srušio ogradu da ga beru svi što putem prolaze,
13 Ngurue wa msituni wanauharibu, na wanyama wa kondeni wanaula.
da ga pustoši vepar iz šume, da ga pasu poljske zvijeri?
14 Urudi, Ee Mungu wa majeshi; kutoka mbinguni utazame chini na uuangalie na kuujali huu mzabibu.
Vrati se, Bože nad Vojskama, pogledaj s neba i vidi, obiđi ovaj vinograd:
15 Huu ni mzizi ambao mkono wako wa kuume umeupanda, mashina ambayo wewe uliyafanya yakue.
zakrili što zasadi desnica tvoja, sina kog za se odgoji!
16 Yamekatwa na kuchomwa; yameangamia kwa sababu ya kukemea kwako.
Oni koji ga spališe i posjekoše nek' izginu od prijetnje lica tvojega!
17 Mkono wako na uwe juu ya mtu aliye mkono wako wa kuume, kwa mwana wa mtu uliyemfanya imara kwa ajili yako mwenyewe.
Tvoja ruka nek' bude nad čovjekom desnice tvoje, nad sinom čovječjim kog za se odgoji!
18 Ndipo hatuta kuacha wewe; utuhuishe, nasi tutaliita jina lako.
Nećemo se više odmetnuti od tebe; poživi nas, a mi ćemo zazivati ime tvoje.
19 Yahwe, Mungu wa majeshi, uturejeshe sisi; utuangazie nuru ya uso wako, nasi tutaokolewa.
Jahve, Bože nad Vojskama, obnovi nas, razvedri lice svoje i spasi nas!

< Zaburi 80 >