< Zaburi 8 >

1 Yahweh Bwana wetu, ni jinsi gani jina lako ni tukufu katika dunia yote, wewe ufunuaye utukufu wako juu mbinguni.
Para el director del coro. Sobre el Gitit. Un salmo de David. ¡Señor, nuestro Señor, tu majestoso nombre llena toda la tierra! Tu majestad es más grande que los cielos,
2 Kutoka katika midomo ya watoto na vichanga umeumba sifa kwa sababu ya utukufu wako, ili kuwanyamazisha maadui wote na walipa kisasi wote.
y lo cantan las voces de los niños. Tu fuerza sobrepasa a tus oponentes, y silencias al enemigo y al vengador.
3 Ninapozitazama mbingu, ambazo vidole vyako vimeumba, mwezi na nyota, ambazo umeziweka kila mmoja katika nafasi yake,
Cuando contemplo los cielos que hicieron tus manos, la luna y las estrellas que en él pusiste,
4 Binadamu ni nani hata umtazame, na watu hata uwajali wao?
¿Qué son los seres humanos para que pienses en ellos? ¿Qué somos las personas para que cuides de nosotros?
5 Umewaumba chini kidogo kuliko viumbe vya mbinguni na umewazunguka na utukufu na heshima.
Los creaste un poco menores que Dios, coronándoles de gloria y majestad.
6 Umemfanya binadamu kutawala kazi ya mikono yako; umeviweka vitu vyote chini ya miguu yake:
Los pusiste a cargo de toda tu creación, dándoles autoridad sobre todo:
7 kondoo na ng'ombe wote, na hata wanyama wa porini,
sobre las ovejas, sobre el ganado, sobre los animales del campo,
8 ndege wa angani, na samaki wa baharini, na vyote vipitavyo katika mikondo ya bahari.
sobre las aves del cielo, y los peces del mar, así como sobre todo lo que nada en el océano.
9 Yahweh Bwana wetu, ni jinsi gani jina lako ni tukufu katika dunia yote!
Señor, nuestro Señor, tu majestuoso nombre llena toda la tierra.

< Zaburi 8 >