< Zaburi 8 >

1 Yahweh Bwana wetu, ni jinsi gani jina lako ni tukufu katika dunia yote, wewe ufunuaye utukufu wako juu mbinguni.
聖歌隊の指揮者によってギテトにあわせてうたわせたダビデの歌 主、われらの主よ、あなたの名は地にあまねく、いかに尊いことでしょう。あなたの栄光は天の上にあり、
2 Kutoka katika midomo ya watoto na vichanga umeumba sifa kwa sababu ya utukufu wako, ili kuwanyamazisha maadui wote na walipa kisasi wote.
みどりごと、ちのみごとの口によって、ほめたたえられています。あなたは敵と恨みを晴らす者とを静めるため、あだに備えて、とりでを設けられました。
3 Ninapozitazama mbingu, ambazo vidole vyako vimeumba, mwezi na nyota, ambazo umeziweka kila mmoja katika nafasi yake,
わたしは、あなたの指のわざなる天を見、あなたが設けられた月と星とを見て思います。
4 Binadamu ni nani hata umtazame, na watu hata uwajali wao?
人は何者なので、これをみ心にとめられるのですか、人の子は何者なので、これを顧みられるのですか。
5 Umewaumba chini kidogo kuliko viumbe vya mbinguni na umewazunguka na utukufu na heshima.
ただ少しく人を神よりも低く造って、栄えと誉とをこうむらせ、
6 Umemfanya binadamu kutawala kazi ya mikono yako; umeviweka vitu vyote chini ya miguu yake:
これにみ手のわざを治めさせ、よろずの物をその足の下におかれました。
7 kondoo na ng'ombe wote, na hata wanyama wa porini,
すべての羊と牛、また野の獣、
8 ndege wa angani, na samaki wa baharini, na vyote vipitavyo katika mikondo ya bahari.
空の鳥と海の魚、海路を通うものまでも。
9 Yahweh Bwana wetu, ni jinsi gani jina lako ni tukufu katika dunia yote!
主、われらの主よ、あなたの名は地にあまねく、いかに尊いことでしょう。

< Zaburi 8 >