< Zaburi 8 >
1 Yahweh Bwana wetu, ni jinsi gani jina lako ni tukufu katika dunia yote, wewe ufunuaye utukufu wako juu mbinguni.
Dem Sangmeister, auf der Gittit. Ein Psalm Davids.
2 Kutoka katika midomo ya watoto na vichanga umeumba sifa kwa sababu ya utukufu wako, ili kuwanyamazisha maadui wote na walipa kisasi wote.
Jahwe, unser Herrscher, / Wie herrlich ist dein Name auf der ganzen Erde! / Deine Hoheit zeigst du droben im Himmel.
3 Ninapozitazama mbingu, ambazo vidole vyako vimeumba, mwezi na nyota, ambazo umeziweka kila mmoja katika nafasi yake,
Aus Kinder- und Säuglingsmund hast du ein Bollwerk gegründet / Deinen Widersachern zum Trutz, / Um Feind und Empörer zum Schweigen zu bringen.
4 Binadamu ni nani hata umtazame, na watu hata uwajali wao?
So oft ich die Himmel betrachte, deiner Hände Werk, / Den Mond und die Sterne, die du bereitet:
5 Umewaumba chini kidogo kuliko viumbe vya mbinguni na umewazunguka na utukufu na heshima.
Was ist da der Mensch, daß du sein gedenkst, / Und der Menschensohn, daß du für ihn so liebreich sorgst?
6 Umemfanya binadamu kutawala kazi ya mikono yako; umeviweka vitu vyote chini ya miguu yake:
Du hast ihn nur wenig geringer gemacht als die himmlischen Wesen, / Mit Ehre und Würde hast du ihn gekrönt.
7 kondoo na ng'ombe wote, na hata wanyama wa porini,
Du hast ihn zum Herrscher gemacht über deiner Hände Werke, / Alles hast du ihm unter die Füße gelegt:
8 ndege wa angani, na samaki wa baharini, na vyote vipitavyo katika mikondo ya bahari.
Schafe und Rinder insgesamt, / Dazu auch die Tiere der Felder,
9 Yahweh Bwana wetu, ni jinsi gani jina lako ni tukufu katika dunia yote!
Die Vögel des Himmels und die Fische im Meer. / Auch durchzieht er die Bahnen der Meere. Jahwe, unser Herrscher, / Wie herrlich ist dein Name auf der ganzen Erde!