< Zaburi 8 >

1 Yahweh Bwana wetu, ni jinsi gani jina lako ni tukufu katika dunia yote, wewe ufunuaye utukufu wako juu mbinguni.
Pour la fin, pour les pressoirs, psaume de David. Seigneur, notre Seigneur, que votre nom est admirable dans toute la terre! Puisque votre magnificence est élevée au-dessus des cieux.
2 Kutoka katika midomo ya watoto na vichanga umeumba sifa kwa sababu ya utukufu wako, ili kuwanyamazisha maadui wote na walipa kisasi wote.
De la bouche des enfants et de ceux qui sont à la mamelle, vous avez tiré une louange parfaite pour anéantir l’ennemi et son vengeur.
3 Ninapozitazama mbingu, ambazo vidole vyako vimeumba, mwezi na nyota, ambazo umeziweka kila mmoja katika nafasi yake,
Je considérerai vos cieux, les œuvres de vos doigts; la lune et les étoiles que vous avez affermies.
4 Binadamu ni nani hata umtazame, na watu hata uwajali wao?
Qu’est-ce qu’un homme, pour que vous vous souveniez de lui, et le fils d’un homme, pour que vous le visitiez?
5 Umewaumba chini kidogo kuliko viumbe vya mbinguni na umewazunguka na utukufu na heshima.
Vous l’avez abaissé un peu au-dessous des anges, vous l’avez couronné de gloire et d’honneur,
6 Umemfanya binadamu kutawala kazi ya mikono yako; umeviweka vitu vyote chini ya miguu yake:
Et vous l’avez établi sur les œuvres de vos mains.
7 kondoo na ng'ombe wote, na hata wanyama wa porini,
Vous avez mis toutes choses sous ses pieds, brebis et bœufs, et de plus les animaux des champs;
8 ndege wa angani, na samaki wa baharini, na vyote vipitavyo katika mikondo ya bahari.
Les oiseaux du ciel, et les poissons de la mer qui parcourent les sentiers de la mer.
9 Yahweh Bwana wetu, ni jinsi gani jina lako ni tukufu katika dunia yote!
Seigneur notre Seigneur, que votre nom est admirable dans toute la terre!

< Zaburi 8 >