< Zaburi 8 >

1 Yahweh Bwana wetu, ni jinsi gani jina lako ni tukufu katika dunia yote, wewe ufunuaye utukufu wako juu mbinguni.
For the end, concerning the wine presses, a Psalm of David. O Lord, our Lord, how wonderful is your name in all the earth! for your magnificence is exalted above the heavens.
2 Kutoka katika midomo ya watoto na vichanga umeumba sifa kwa sababu ya utukufu wako, ili kuwanyamazisha maadui wote na walipa kisasi wote.
Out of the mouth of babes and sucklings have you perfected praise, because of your enemies; that you might put down the enemy and avenger.
3 Ninapozitazama mbingu, ambazo vidole vyako vimeumba, mwezi na nyota, ambazo umeziweka kila mmoja katika nafasi yake,
For I will regard the heavens, the work of your fingers; the moon and stars, which you have established.
4 Binadamu ni nani hata umtazame, na watu hata uwajali wao?
What is man, that you are mindful of him? or the son of man, that you visit him?
5 Umewaumba chini kidogo kuliko viumbe vya mbinguni na umewazunguka na utukufu na heshima.
You made him a little less than angels, you have crowned him with glory and honor;
6 Umemfanya binadamu kutawala kazi ya mikono yako; umeviweka vitu vyote chini ya miguu yake:
and you have set him over the works of your hands: you have put all things under his feet:
7 kondoo na ng'ombe wote, na hata wanyama wa porini,
sheep and all oxen, yes and the cattle of the field;
8 ndege wa angani, na samaki wa baharini, na vyote vipitavyo katika mikondo ya bahari.
the birds of the sky, and the fish of the sea, the [creatures] passing through the paths of the sea.
9 Yahweh Bwana wetu, ni jinsi gani jina lako ni tukufu katika dunia yote!
O Lord our Lord, how wonderful is your name in all the earth!

< Zaburi 8 >