< Zaburi 8 >

1 Yahweh Bwana wetu, ni jinsi gani jina lako ni tukufu katika dunia yote, wewe ufunuaye utukufu wako juu mbinguni.
Til Sangmesteren. Al-haggittit. En Salme af David.
2 Kutoka katika midomo ya watoto na vichanga umeumba sifa kwa sababu ya utukufu wako, ili kuwanyamazisha maadui wote na walipa kisasi wote.
HERRE, vor Herre, hvor herligt er dit Navn paa den vide Jord, du, som bredte din Højhed ud over Himlen!
3 Ninapozitazama mbingu, ambazo vidole vyako vimeumba, mwezi na nyota, ambazo umeziweka kila mmoja katika nafasi yake,
Af spædes og diendes Mund har du rejst dig et Værn for dine Modstanderes Skyld, for at bringe til Tavshed Fjende og Hævner.
4 Binadamu ni nani hata umtazame, na watu hata uwajali wao?
Naar jeg ser din Himmel, dine Fingres Værk, Maanen og Stjernerne, som du skabte,
5 Umewaumba chini kidogo kuliko viumbe vya mbinguni na umewazunguka na utukufu na heshima.
hvad er da et Menneske, at du kommer ham i Hu, et Menneskebarn, at du tager dig af ham?
6 Umemfanya binadamu kutawala kazi ya mikono yako; umeviweka vitu vyote chini ya miguu yake:
Du gjorde ham lidet ringere end Gud, med Ære og Herlighed kroned du ham;
7 kondoo na ng'ombe wote, na hata wanyama wa porini,
du satte ham over dine Hænders Værk, alt lagde du under hans Fødder,
8 ndege wa angani, na samaki wa baharini, na vyote vipitavyo katika mikondo ya bahari.
Smaakvæg og Okser til Hobe, ja, Markens vilde Dyr,
9 Yahweh Bwana wetu, ni jinsi gani jina lako ni tukufu katika dunia yote!
Himlens Fugle og Havets Fisk, alt, hvad der farer ad Havenes Stier. HERRE, vor Herre, hvor herligt er dit Navn paa den vide Jord!

< Zaburi 8 >