< Zaburi 8 >
1 Yahweh Bwana wetu, ni jinsi gani jina lako ni tukufu katika dunia yote, wewe ufunuaye utukufu wako juu mbinguni.
O Yahweh Pakai, ka-Pakai u, leiset chunga hi itilom loma naming loupi hitam! naloupi nahi vanho sangin asangjon ahi.
2 Kutoka katika midomo ya watoto na vichanga umeumba sifa kwa sababu ya utukufu wako, ili kuwanyamazisha maadui wote na walipa kisasi wote.
Nangin chapang hole naosen ho kamsunga nathahat naho nahil in, hiti chun nagalmi hole nangma douho nasuthipjin ahi.
3 Ninapozitazama mbingu, ambazo vidole vyako vimeumba, mwezi na nyota, ambazo umeziweka kila mmoja katika nafasi yake,
Keiman janteng vanthamjol kavet akangaito jiteng, nakhut jung ho natoh in lhathah le ahsi ho agongtoh sel ui.
4 Binadamu ni nani hata umtazame, na watu hata uwajali wao?
Mihem hi ipi hija hibanga nagelkhoh'a, Mihem Chapa hi ipi dinga hibanga hi nakhohsah ham?
5 Umewaumba chini kidogo kuliko viumbe vya mbinguni na umewazunguka na utukufu na heshima.
Nang'in amaho hi Vantil sanga themchabou nemjep in nakoi jin, loupina le jana dimset in lallukhuh nakhuhpeh e.
6 Umemfanya binadamu kutawala kazi ya mikono yako; umeviweka vitu vyote chini ya miguu yake:
Nangin nathilsemsaho jouse chunga vaihop na napen, thiljouse akhutnoija nakoitan ahi:
7 kondoo na ng'ombe wote, na hata wanyama wa porini,
Kelngoiho le bong ho chule gamsahang ho jouse,
8 ndege wa angani, na samaki wa baharini, na vyote vipitavyo katika mikondo ya bahari.
Vantham jol'a vachate, twikhang len'a nga-ho chule twikhang len'a kijap jouse ahiuve.
9 Yahweh Bwana wetu, ni jinsi gani jina lako ni tukufu katika dunia yote!
O Yahweh Pakai, ka-Pakai u, leiset chunga hi itilom loma naming loupi hitam!