< Zaburi 79 >

1 Zaburi ya Asafu. Mungu, Mataifa ya kigeni yameingia kwenye urithi wako; wamelinajisi hekalu lako takatifu; wameigeuza Yerusalemu kuwa chungu cha magofu.
Псалом Аса́фів.
2 Wamezitoa maiti za watumishi wako ziwe chakula cha ndege wa angani, miili ya watakatifu wako iwe chakula cha wanyama wa nchi.
Рабів Твоїх трупи вони віддали́ на пожи́ву для птаства небесного, тіло Твоїх богобійних — звіри́ні земні́й.
3 Wamemwaga damu zao kama maji sehemu zote za Yesrusalemu, na hakuwepo wa kuwazika.
Вони розливали їхню кров, немов воду, в око́лицях Єрусалиму, — і не було́ погреба́льників!
4 Sisi tumekuwa aibu kwa majirani zetu, tukidhihakiwa na kuzomewa na wale wanaotuzunguka.
Ми стали за га́ньбу для наших сусідів, за нару́гу та по́сміх для наших око́лиць.
5 Mpaka lini Yahwe? Utabaki kuwa na hasira milele? Ni kwa muda gani hasira yako ya wivu itawaka kama moto?
Аж до́ки, о Господи, гні́ватись будеш наза́вжди, доки буде пала́ти Твій гнів, як огонь?
6 Mwaga hasira yako juu ya mataifa ambayo hayakujui wewe na ufalme ambao hauliiti jina lako.
Вилий Свій гнів на людей, що Тебе не пізнали, і на ца́рства, що Йме́ння Твого не кличуть,
7 Kwa maana walimvamia Yakobo na waliharibu kijiji chake.
бо вони з'їли Якова, а мешка́ння його опусто́шили!
8 Usiendelee kukumbuka dhambi za baba zetu dhidi yetu; matendo yako ya huruma yaje kwetu, maana tuko chini.
Не пам'ята́й гріхів пре́дківських нам, — нехай попере́дить нас скоро Твоє милосердя, бо ми зо́всім осла́бли!
9 Utusaidie, Mungu wa wokovu wetu, kwa ajili ya utukufu wa jina lako; utuokoe na usamehe dhambi zetu kwa ajili ya jina lako.
Поможи нам, Боже нашого спасі́ння, ради слави Йме́ння Твого, і збережи́ нас, і прости наші гріхи ради Ймення Свого́!
10 Kwa nini mataifa yalazimike kusema, “Mungu wao yuko wapi?” Damu ya watumishi wako ambayo ilimwagwa na ilipize kisasi juu ya mataifa mbele ya macho yako.
Чого будуть казати пога́ни: „Де їхній Бог?“Нехай в наших оча́х між наро́дами стане відо́мою помста за проли́ту кров Твоїх рабів,
11 Kilio cha wafungwa na kije mbele zako; kwa uweza wa nguvu zako uwaweke ai wana wa mauti.
нехай перед лице Твоє ді́йде стогін в'я́зня! За великістю сили раме́на Твого збережи на смерть прироко́ваних!
12 Uwalipize majirani zetu vifuani mwao mara saba zaidi ya walivyo kutukana wewe, Bwana.
А нашим сусідам верни семикра́тно на лоно їхнє їхню нару́гу, якою Тебе зневажа́ли, о Господи!
13 Hivyo sisi watu wako na kondoo wa malisho yako tutakushukuru milele. Tutazisimulia sifa zako kwa vizazi vyote.
А ми, Твій наро́д і отара Твого пасови́ська, будем дя́кувати Тобі вічно, будем оповіда́ти про славу Твою з роду в рід!

< Zaburi 79 >