< Zaburi 79 >

1 Zaburi ya Asafu. Mungu, Mataifa ya kigeni yameingia kwenye urithi wako; wamelinajisi hekalu lako takatifu; wameigeuza Yerusalemu kuwa chungu cha magofu.
Asaf'ın mezmuru Ey Tanrı, uluslar senin yurduna saldırdı, Kutsal tapınağını kirletti, Yeruşalim'i taş yığınına çevirdi.
2 Wamezitoa maiti za watumishi wako ziwe chakula cha ndege wa angani, miili ya watakatifu wako iwe chakula cha wanyama wa nchi.
Kullarının ölülerini yem olarak yırtıcı kuşlara, Sadık kullarının etini yabanıl hayvanlara verdiler.
3 Wamemwaga damu zao kama maji sehemu zote za Yesrusalemu, na hakuwepo wa kuwazika.
Kanlarını su gibi akıttılar Yeruşalim'in çevresine, Onları gömecek kimse yok.
4 Sisi tumekuwa aibu kwa majirani zetu, tukidhihakiwa na kuzomewa na wale wanaotuzunguka.
Komşularımıza yüzkarası, Çevremizdekilere eğlence ve oyuncak olduk.
5 Mpaka lini Yahwe? Utabaki kuwa na hasira milele? Ni kwa muda gani hasira yako ya wivu itawaka kama moto?
Ne zamana dek, ya RAB? Sonsuza dek mi sürecek öfken, Alev gibi yanan kıskançlığın?
6 Mwaga hasira yako juu ya mataifa ambayo hayakujui wewe na ufalme ambao hauliiti jina lako.
Öfkeni seni tanımayan ulusların, Adını anmayan ülkelerin üzerine dök.
7 Kwa maana walimvamia Yakobo na waliharibu kijiji chake.
Çünkü onlar Yakup soyunu yiyip bitirdiler, Yurdunu viraneye çevirdiler.
8 Usiendelee kukumbuka dhambi za baba zetu dhidi yetu; matendo yako ya huruma yaje kwetu, maana tuko chini.
Atalarımızın suçlarını artık önümüze sürme, Sevecenliğini hemen göster bize, Çünkü tükendikçe tükendik.
9 Utusaidie, Mungu wa wokovu wetu, kwa ajili ya utukufu wa jina lako; utuokoe na usamehe dhambi zetu kwa ajili ya jina lako.
Yardım et bize yüce adın uğruna, ey bizi kurtaran Tanrı, Kurtar bizi adın uğruna, bağışla günahlarımızı!
10 Kwa nini mataifa yalazimike kusema, “Mungu wao yuko wapi?” Damu ya watumishi wako ambayo ilimwagwa na ilipize kisasi juu ya mataifa mbele ya macho yako.
Niçin uluslar, “Nerede onların Tanrısı?” diye konuşsun, Kullarının dökülen kanının öcünü alacağını bilsinler, Gözlerimizle bunu görelim!
11 Kilio cha wafungwa na kije mbele zako; kwa uweza wa nguvu zako uwaweke ai wana wa mauti.
Tutsakların iniltisi senin katına erişsin, Koru büyük gücünle ölüme mahkûm olanları.
12 Uwalipize majirani zetu vifuani mwao mara saba zaidi ya walivyo kutukana wewe, Bwana.
Komşularımızın sana ettikleri hakareti Yedi kat iade et bağırlarına, ya Rab!
13 Hivyo sisi watu wako na kondoo wa malisho yako tutakushukuru milele. Tutazisimulia sifa zako kwa vizazi vyote.
Bizler, kendi halkın, otlağının koyunları Sonsuza dek şükredeceğiz sana, Kuşaklar boyunca övgülerini dilimizden düşürmeyeceğiz.

< Zaburi 79 >