< Zaburi 79 >

1 Zaburi ya Asafu. Mungu, Mataifa ya kigeni yameingia kwenye urithi wako; wamelinajisi hekalu lako takatifu; wameigeuza Yerusalemu kuwa chungu cha magofu.
Psalm podany Asafowi. O Boże! wtargnęli poganie w dziedzictwo twoje, splugawili kościół twój święty, obrócili Jeruzalem w kupy gruzu.
2 Wamezitoa maiti za watumishi wako ziwe chakula cha ndege wa angani, miili ya watakatifu wako iwe chakula cha wanyama wa nchi.
Dali trupy sług twoich na pokarm ptastwu powietrznemu, ciała świętych twoich bestyjom ziemskim.
3 Wamemwaga damu zao kama maji sehemu zote za Yesrusalemu, na hakuwepo wa kuwazika.
Wylali krew ich jako wodę około Jeruzalemu, a nie był, ktoby ich pochował.
4 Sisi tumekuwa aibu kwa majirani zetu, tukidhihakiwa na kuzomewa na wale wanaotuzunguka.
Staliśmy się pohańbieniem u sąsiadów naszych; śmiechowiskiem i igrzyskiem u tych, którzy są około nas.
5 Mpaka lini Yahwe? Utabaki kuwa na hasira milele? Ni kwa muda gani hasira yako ya wivu itawaka kama moto?
Dokądże, o Panie? azaż na wieki gniewać się będziesz? a jako ogień pałać będzie zapalczywość twoja?
6 Mwaga hasira yako juu ya mataifa ambayo hayakujui wewe na ufalme ambao hauliiti jina lako.
Wylij gniew twój na pogan, którzy cię nie znają, i na królestwa, które imienia twego nie wzywają.
7 Kwa maana walimvamia Yakobo na waliharibu kijiji chake.
Albowiemci pożarli Jakóba, a mieszkanie jego spustoszyli.
8 Usiendelee kukumbuka dhambi za baba zetu dhidi yetu; matendo yako ya huruma yaje kwetu, maana tuko chini.
Nie wspominajże nam przeszłych nieprawości naszych; niech nas rychło uprzedzi miłosierdzie twoje, bośmy bardzo znędzeni.
9 Utusaidie, Mungu wa wokovu wetu, kwa ajili ya utukufu wa jina lako; utuokoe na usamehe dhambi zetu kwa ajili ya jina lako.
Wspomóżże nas, o Boże zbawienia naszego! dla chwały imienia twego, a wyrwij nas, i bądź miłościw grzechom naszym dla imienia twego.
10 Kwa nini mataifa yalazimike kusema, “Mungu wao yuko wapi?” Damu ya watumishi wako ambayo ilimwagwa na ilipize kisasi juu ya mataifa mbele ya macho yako.
Przeczżeby mieli mówić poganie: Gdzież jest Bóg ich? Bądź znacznym między poganami, przed oczyma naszemi, dla pomsty krwi sług twoich, która jest wylana.
11 Kilio cha wafungwa na kije mbele zako; kwa uweza wa nguvu zako uwaweke ai wana wa mauti.
Niech przyjdzie przed oblicze twoje narzekanie więźniów, a według wielkości ramienia twego zachowaj ostatki tych, co są na śmierć skazani.
12 Uwalipize majirani zetu vifuani mwao mara saba zaidi ya walivyo kutukana wewe, Bwana.
A oddaj sąsiadom naszym siedmiorako na łono ich za pohańbienie ich, któreć uczynili, o Panie!
13 Hivyo sisi watu wako na kondoo wa malisho yako tutakushukuru milele. Tutazisimulia sifa zako kwa vizazi vyote.
Ale my lud twój i owce pastwiska twego, będziemy cię wysławiali na wieki; od narodu do narodu będziemy opowiadać chwałę twoję.

< Zaburi 79 >